kweleakwelea
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 3,072
- 1,545
jana mchana nilikuwa ninaendesha gari yangu nikapita meneo ya mvumi misheni kule kule mjia ya kwenda kwa mzee malecela aka tinga tinga. nikiwa ninapumzika kidogo na kunywa soda ndani ya hoteli moja kijana mmoja aliyeonekana mtanashati alikuja pale hotelini na kudadisi gari iliyokuwa pale nje ni ya nani. akajibiwa ni ya yule pale bwana. ndio akaja pale na kuomba kama inawezekana apate lifti. nlimkubalia na nikamwambia tutapomaliza shughuli pale mjini tutaondoka naye. hivyo akae stand by. awali alidai kuwa basi limechelewa.
masaa mawli baadae nikawa tayari kuondoka pale na ndipo kijana yule alitokeza kwa mbele na kunisimamisha. nilishangaa kwani nilitegemea angekuwa ameishaondoka kwani mabasi yaliishakatiza. nikajua lazima iko shida.
njiani wakati tunakuja mjini dodoma, nikamdadisi shughuli zake, akaniambia ni mhitimu wa UDOM, na huku amekuja kutafuta kazi ya kufundisha. amepigwa dana mara tatu. nikamuuliza kumbe wewe ni graduate. kumdodosa kuhusu wabunge wake akasema anawafahamu wengi wa iringa (ambako ni kwao) na huwa alikuwa anahudhuria shughuli zenye upuche wakiwa hapa dodoma.
nilipomuuliza mchango wa mafuta nikagundua kuwa hakuwa hata na nauli ya kumtosha kufika mjini ambayo ni shilingi 3000. kwamba amebakiwa na shilingi 2000 tu! akadai kuwa jk aliwahi kuwadanganya udom kuwa graduates watapata ajira as soon as wakiigraduate!!! tena kabla wale wa vyuo vingine kuajiriwa???
nikamuuliza kama graduate anadhani kuwa Tanzania kuna future na ccm? mwanzo akajikanyaga lakini akakiri future haipo! hakuamini kuwa huku mtaani kuna mateso makali sana chini ya ccm. akadai kuwa hapo alipo hana tena nauli wala chochote... tena anasubiri kiama cha bei za umeme kimmalize kodi zikipanda!
yeye akadai ni muumini wa cdm ila alikuwa anafuata ubwabwa kweny pati za ccm... katiak hili alinitolea ushuhuda jinsi aliyelaaniwa na wanaismani anapata shida! kwamba mgombea wa chadema kule ismani bwana kapwani aliyekuwa na uwezo wa kushinda alipewa 13 million na lukuvi ili aachie kugombea. wakatui wa kampeni Dr SLaa alitamka katima mkutano kuwa kama wewe umewasaliti watu wa ismani kwa kujitoa kwenye kinyang'anyiro basi na damu ya watu hawa itakuwa juu yako!!
kilichotokea baada ya hapo ni kuwa muda mfupi baadae yule mtu alipooza hata kabla ya uchaguzi na akawa kama zezeta. kijana yule akiwa ndani ya gari langu alipiga simu iringa kutumia simu yangu kujua hatima ya mtu yule! taarifa ikaja kuwa kwa sasa anatembelea magongo!!!
hata leo naamini kuwa damu ya masikini na watanzania watesekao kwa ajili ya ccm, rostam, werema, el na wote iko juu ya watoto wa wanaccm na wanaoifagilia iendelee na ujambazi!! itawapata hata kabla jua halijatuwa. ni dhambi zaidi kwani masikini hawa walimchagua Dr Slaa lakini wao kwa misuli yao wakapindisha!!!
haya sasa wanajf..... je kupooza huku ni hiyo laana au mtaalamu lkv alituma kipapai lakini kilichelewa kurindima?
nawasilisha
do you see any future
masaa mawli baadae nikawa tayari kuondoka pale na ndipo kijana yule alitokeza kwa mbele na kunisimamisha. nilishangaa kwani nilitegemea angekuwa ameishaondoka kwani mabasi yaliishakatiza. nikajua lazima iko shida.
njiani wakati tunakuja mjini dodoma, nikamdadisi shughuli zake, akaniambia ni mhitimu wa UDOM, na huku amekuja kutafuta kazi ya kufundisha. amepigwa dana mara tatu. nikamuuliza kumbe wewe ni graduate. kumdodosa kuhusu wabunge wake akasema anawafahamu wengi wa iringa (ambako ni kwao) na huwa alikuwa anahudhuria shughuli zenye upuche wakiwa hapa dodoma.
nilipomuuliza mchango wa mafuta nikagundua kuwa hakuwa hata na nauli ya kumtosha kufika mjini ambayo ni shilingi 3000. kwamba amebakiwa na shilingi 2000 tu! akadai kuwa jk aliwahi kuwadanganya udom kuwa graduates watapata ajira as soon as wakiigraduate!!! tena kabla wale wa vyuo vingine kuajiriwa???
nikamuuliza kama graduate anadhani kuwa Tanzania kuna future na ccm? mwanzo akajikanyaga lakini akakiri future haipo! hakuamini kuwa huku mtaani kuna mateso makali sana chini ya ccm. akadai kuwa hapo alipo hana tena nauli wala chochote... tena anasubiri kiama cha bei za umeme kimmalize kodi zikipanda!
yeye akadai ni muumini wa cdm ila alikuwa anafuata ubwabwa kweny pati za ccm... katiak hili alinitolea ushuhuda jinsi aliyelaaniwa na wanaismani anapata shida! kwamba mgombea wa chadema kule ismani bwana kapwani aliyekuwa na uwezo wa kushinda alipewa 13 million na lukuvi ili aachie kugombea. wakatui wa kampeni Dr SLaa alitamka katima mkutano kuwa kama wewe umewasaliti watu wa ismani kwa kujitoa kwenye kinyang'anyiro basi na damu ya watu hawa itakuwa juu yako!!
kilichotokea baada ya hapo ni kuwa muda mfupi baadae yule mtu alipooza hata kabla ya uchaguzi na akawa kama zezeta. kijana yule akiwa ndani ya gari langu alipiga simu iringa kutumia simu yangu kujua hatima ya mtu yule! taarifa ikaja kuwa kwa sasa anatembelea magongo!!!
hata leo naamini kuwa damu ya masikini na watanzania watesekao kwa ajili ya ccm, rostam, werema, el na wote iko juu ya watoto wa wanaccm na wanaoifagilia iendelee na ujambazi!! itawapata hata kabla jua halijatuwa. ni dhambi zaidi kwani masikini hawa walimchagua Dr Slaa lakini wao kwa misuli yao wakapindisha!!!
haya sasa wanajf..... je kupooza huku ni hiyo laana au mtaalamu lkv alituma kipapai lakini kilichelewa kurindima?
nawasilisha
do you see any future