Aliyemfukuza Trump twitter na yeye afukuzwa na mmliki mpya wa twitter Elon Musk

Aliyemfukuza Trump twitter na yeye afukuzwa na mmliki mpya wa twitter Elon Musk

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Salama wadau
Unaambiwa binadamu hukutana lakini milima haikutani na malipo ya ubaya ni hapahapa duniani.
Sasa jamaa baada ya kununua Twitter kwanza kawatimua management yote na baadaye staff wapewa alerts Fagio LA chuma litapitishwa kuondoa baadhi ya wafanyakazi.
Sipati picha bwana Trump akishangilia kwa kukata mauno maana alilalamika sana account yake ilivyofungwa.
 
Utaundwa mtandao mwingine na utapewa promo ya kutosha mwishowe Musk atabakia kwenye mataa.
 
Huyo Musk kalazimishwa kununua Twitter kwa bei ya juu sana. Hili liliratibiwa mahakamani kupitia mabosi hao wa zaman wa Twitter.
Trump hawezi kuwa na any positive effect Twitter kwa sasa
 
Mkuu wewe ulipanga uipate kwa kiasi gani?
Alijitajia bei kwa kuropoka...baadae akagoma kuinunua kwa hiyo bei.
Kilichofuata board ya Twitter ikaenda mahakamani kumlazimiaha anunue kwa bei ya awali.
Mahakama ilimlazimiaha na kuweka deadline kwa Musk awe amenunua Twitter.
Kwa hapo nani alipatikanika? Kama sio mahakama Musk asingenunua Twitter kwa bei hiyo
 
Back
Top Bottom