Kijana maarufu kwa jina la Karama AKA Don ambaye inasiadikiwa kuwa ndie aliemletea Mufti Mkuu Sheikh Issa Shaaban Simba Kasheshe kwa kumuunganishia Deal la kuuza mali za waislam Jiji Dar es salaam ikiwemo kiwanja cha kule Chang'ombe
kwa sasa hivi yupo mjini mwanza akitesa na Gari la Kifahari aina ya Range Rover Sport Lanye Namba T***APX
Kijana Huyu amabe anasadikiwa Amekuwa akimuunganishia Deal za viwanja vya Wakfu pamoja na nyumba mara kadha akishirikiana na Ismail (miiliki wa Isamil Hotel)Lumumba,
Hajajulikana ni amekimbia Dar es Salaam au amekuja kufanikisha madeal mengine maana inasadikiwa mara ya mwisho alikunja kiasi cha 400 Milioni za kitanzania huku akimuacha mzee wa kifipa Mufti akiambulia 200 Milioni na kigari kichakavu cha Toyota Cresta ndio maana hapa mwanza amekuwa akiishi katika mahoteli ya kifahari kama Gold Crest na New Mwanza Hotel Picha yake itabaandikwa Soon Inaeelekea Kiwanja Hicho ndio kilichoripua Fujo la kIna Sheikh Issa Ponda
Nawakilisha
kwa sasa hivi yupo mjini mwanza akitesa na Gari la Kifahari aina ya Range Rover Sport Lanye Namba T***APX
Kijana Huyu amabe anasadikiwa Amekuwa akimuunganishia Deal za viwanja vya Wakfu pamoja na nyumba mara kadha akishirikiana na Ismail (miiliki wa Isamil Hotel)Lumumba,
Hajajulikana ni amekimbia Dar es Salaam au amekuja kufanikisha madeal mengine maana inasadikiwa mara ya mwisho alikunja kiasi cha 400 Milioni za kitanzania huku akimuacha mzee wa kifipa Mufti akiambulia 200 Milioni na kigari kichakavu cha Toyota Cresta ndio maana hapa mwanza amekuwa akiishi katika mahoteli ya kifahari kama Gold Crest na New Mwanza Hotel Picha yake itabaandikwa Soon Inaeelekea Kiwanja Hicho ndio kilichoripua Fujo la kIna Sheikh Issa Ponda
Nawakilisha