Aliyemtukana Mwita Waitara atumbuliwa Ukuu wa Mkoa Mara

Aliyemtukana Mwita Waitara atumbuliwa Ukuu wa Mkoa Mara

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Mhe. Rais nimekushukuru kwa kumtumbua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Binadamu tunatakiwa tuwe na utu, upendo, mshikamano na weledi katika utendaji kazi za umma.

Mhusika aliyetumbuliwa ajifunze kwa matamshi yake na afahamu kuwa watu wa Mara ni waungwana, wapenda watu na siyo wanafiki. Karibu sana Mhe. Mtanda Mkoani Mara na nakuhakikishia kuwa utapafurahia utakapshirikiana na wananchi.

Pia soma: Waitara: Mkuu wa mkoa amenitukana Mpumbavu na Mshenzi mbele ya Waziri Mabula. Kama hamnitaki semeni Nitajiuzulu

Mzee.jpg

Meja Jenerali Suleiman Mzee​
 
Mhe. Rais nimekushukuru kwa kumtumbua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Binadamu tunatakiwa tuwe na utu, upendo, mshikamano na weledi katika utendaji kazi za umma.

Mhusika aliyetumbuliwa ajifunze kwa matamshi yake na afahamu kuwa watu wa Mara ni waungwana, wapenda watu na siyo wanafiki. Karibu sana Mhe. Mtanda Mkoani Mara na nakuhakikishia kuwa utapafurahia utakapshirikiana na wananchi.

Wewe ndo Waitara?
 
Ikiwa mama samia atakomesha matamko ya kibabe atakuwa amefanya jambo jema sana,nachukia ubabe naaamini katika utawala wa sheria
 
Mhe. Rais nimekushukuru kwa kumtumbua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Binadamu tunatakiwa tuwe na utu, upendo, mshikamano na weledi katika utendaji kazi za umma.

Mhusika aliyetumbuliwa ajifunze kwa matamshi yake na afahamu kuwa watu wa Mara ni waungwana, wapenda watu na siyo wanafiki. Karibu sana Mhe. Mtanda Mkoani Mara na nakuhakikishia kuwa utapafurahia utakapshirikiana na wananchi.
Bila kumtag Lucas mwashambwa na ChoiceVariable huu uzi unakosa vishusha nyongo
 
Mhe. Rais nimekushukuru kwa kumtumbua aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara. Binadamu tunatakiwa tuwe na utu, upendo, mshikamano na weledi katika utendaji kazi za umma.

Mhusika aliyetumbuliwa ajifunze kwa matamshi yake na afahamu kuwa watu wa Mara ni waungwana, wapenda watu na siyo wanafiki. Karibu sana Mhe. Mtanda Mkoani Mara na nakuhakikishia kuwa utapafurahia utakapshirikiana na wananchi.
ni yupi huyo aliyetumbuliwa?mtujulishe basi au ni matumizi ya maneno yasiyofaa?
 
Maj. Gen S Mzee anarudishwa makao kuna shughuli huko usiwe na papara.
Ni sawa tu walivyorudishwa makao Maj. Gen. Ibuge, Gaguti na mbuge ili kwenda ku replace ma gape MMJ.
 
Yah kwa Mbuge hayupo MMJ hapo nilimpa mfano tu wakati wanatolewa hao maafande kutoka kwenye U RC kurudi jeshini katika majukumu yao halisi.
Okay

Mbuge yupo kwenye appointment za kiraia nadhani ni maafa kama sikosei
 
Na Waitra 2025 nae wanampiga chini maana ameaibisha CCM na serikali yake wakati huo sio utamaduni wao.
 
Back
Top Bottom