Ingekuwa Bongo angepigwa kofi kerbu moja na Tanganyika jeki akala mchanga. Akiamka anaongoza njia.
Marekani wametumia sheria inayosema unaweza kupinga kusombwa sombwa ovyo ovyo bila utaratibu. Bado wanafuatilia mchakato wa kumrudisha New York alikoua na kukimbia.
Wakimlazimisha kumzoa kwa makofi Jaji wa kesi ya msingi anaweza kumwachia huru!
Kule ndio kuna wanasheria wasomi, na majaji wa ukweli.
Marekani wametumia sheria inayosema unaweza kupinga kusombwa sombwa ovyo ovyo bila utaratibu. Bado wanafuatilia mchakato wa kumrudisha New York alikoua na kukimbia.
Wakimlazimisha kumzoa kwa makofi Jaji wa kesi ya msingi anaweza kumwachia huru!
Kule ndio kuna wanasheria wasomi, na majaji wa ukweli.