Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Habari toka kwa watu wa karibu wenye ufahamu na suala hili, wanasema kuwa aliyekuwa Askari Polisi na kutiwa hatiani kwa mauaji ya Mwandishi wa Habari Daudi Mwangosi, amekata rufaa na rufaa yake itaanza kusikilizwa siku ya Ijumaa ya tarehe 1/06/2018.
Pacifius Simon aliyekuwa Askari wa Kikosi cha kuzuia ghasia Mkoani Iringa, alihukumiwa kifungo cha miaka 15 Jela na Mahakama Kuu Kanda ya Iringa amekata rufani dhidi ya hukumu hiyo.
Pacifius Simon aliyekuwa Askari wa Kikosi cha kuzuia ghasia Mkoani Iringa, alihukumiwa kifungo cha miaka 15 Jela na Mahakama Kuu Kanda ya Iringa amekata rufani dhidi ya hukumu hiyo.