Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #21
Tuishi nao kwa akili tuMimi kuna certain girl aliniblock nikamcheki namba nyingine kwanini umeniblock bla blah nyingi yaan she was want to ghost me nikamwambia kila mtu achukue time yake ,i dont beg for a woman ,i will beg for my mom lakini sio mademu hawa wa mjini
Kabisa badilika usimpe ela demu au girl au mwanamke hadi uwe una uhakika ni wako naongea IN ALBERT MAGWAIR VOICE ....RIP :WEWE UNAHONGA WENZAKO WANAPIGA KISELATuishi nao kwa akili tu
Bebesha ujauzito.Kabisa badilika usimpe ela demu au girl au mwanamke hadi uwe una uhakika ni wako naongea IN ALBERT MAGWAIR VOICE ....RIP :WEWE UNAHONGA WENZAKO WANAPIGA KISELA
Mbezi kwao kibambaWa wapi huyo
Ameamua kurudi kundini, baada ya kugundua anajikomoa mwenyewe.Kumbe hii episode ilikua na mwendelezo?
Hivi wee rafiki yangu unae mke kweli? maana u mwingi wa mambo hadi sio poa.
Nipo hapa jukwaani nakusubiriJamaniiii uko wapi....
Maisha ni full burudaniAhaha we jamaa bhana
Asingerudi ningeumia sana π π , ila ile kujirudi menyewe tu najiona mshindiBasi unajiona mjanja
Pokea simu pokea simuuuNipo hapa jukwaani nakusubiri
Namalizia kunywa supu ya sato hapa, ndio nipokee simu yako ya mizingaPokea simu pokea simuuu
πΉπΉπΉπΉπΉπΉ upokee ukiwa umeshibaNamalizia kunywa supu ya sato hapa, ndio nipokee simu yako ya mizinga
Nataka nitengeneze undugu na wewe ππΉπΉπΉπΉπΉπΉ upokee ukiwa umeshiba
Jamani nimecheka! Anataka kufanana na AFANDE MADILISHA, na yeye alirudi kwa gia ya kukosea namba ya simu..π€£Mariam huyo