Aliyepangiwa MAIN CAMPUS wakati yeye anataka MABIBO

Aliyepangiwa MAIN CAMPUS wakati yeye anataka MABIBO

almaige

Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
19
Reaction score
3
nimepangiwa MABIBo hostel(male rooms) but am not interested to live there... so kama kuna mtu wa main CAMPUS either 1.tubadilishane... au 2.kununua chumba au kama kuna msaada mwingine naomba munisaidie ktk hili...
 
Dogo ukipata tukumbukane bhana, naomba unibebe mdogo wangu...
 
Eti dogo almaige..
Ulipata cozy gani?
Civil...
Mechanical...
Petroleum geology...
Petroleum eng...

Labda ni classmate, coz tangu niingie humu jf,wewe ndio wakwanza kukusikia unazungumzia petroleum
 
Last edited by a moderator:
Eti dogo almaige..
Ulipata cozy gani?
Civil...
Mechanical...
Petroleum geology...
Petroleum eng...

Labda ni classmate, coz tangu niingie humu jf,wewe ndio wakwanza kukusikia unazungumzia petroleum

nimekuwa admitted CIVIL ENG....
 
Last edited by a moderator:
Mi mwenyewe nilitaka kubadilisha kwenda main campus lakini nimeshauriwa nibaki mabibo kwa sababu kuna mazingira mazuri kwa kujisomea,miundo mbinu mizuri,mazingira mazuri ya kupata msosi popote na usalama wa kutosha.
 
Mi mwenyewe nilitaka kubadilisha kwenda main campus lakini nimeshauriwa nibaki mabibo kwa sababu kuna mazingira mazuri kwa kujisomea,miundo mbinu mizuri,mazingira mazuri ya kupata msosi popote na usalama wa kutosha.

ok braza nashukuru kwa ushauri...
 
very soon mtawekewa jukwaa la wanafunzi na watoto muweke mambo yenu humo..
 
Back
Top Bottom