nimekuwa admitted CIVIL ENG....
Mi mwenyewe nilitaka kubadilisha kwenda main campus lakini nimeshauriwa nibaki mabibo kwa sababu kuna mazingira mazuri kwa kujisomea,miundo mbinu mizuri,mazingira mazuri ya kupata msosi popote na usalama wa kutosha.
jaman mm cyo man wangupoa man