Aliyepewa viatu vya Ruge "Jasiri Muongoza Njia" vinampwaya

Aliyepewa viatu vya Ruge "Jasiri Muongoza Njia" vinampwaya

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,753
Panapo majaaliwa siku ya Jumamosi Mchana tutazungumzia Viatu vya Jasiri Muongoza Njia (Ruge Mutahaba) baada ya kutangulia mbele ya haki.

Viatu vyake nani alipewa, na Je aliekabidhiwa Viatu hivo vinamtosha?

Rangi ya Viatu alivokuwa akivaa marehemu ndio hiyo bado ipo mpaka leo au aliepewa kavibadilisha? na Viatu hivo anavivaa wakati gani au ndio kaviweka Kabatini
 
Inawezekana,
Maana kuna watu wanondoka na ni potential..
Anaondoka freduwa nafasi anaziba Cza..siyo kwamba cza ni mbaya ila bado
PJ
Now Mandi
 
Ruge hadi anaaga dunia alikuwa in the same position kwa zaidi ya miaka 20, sasa mtu hata mwaka haujaisha unataka ona matokeo, elewa tu kwamba matokeo ya muda mfupi waga yanaishi maisha mafupi.

Michael Jordan aliitumikia Chicago Bulls almost miaka 10 kabla Bulls hawajapata back to back 5 titles.

Alex Furgerson alikaa miaka kadhaa Manchester United kabla hajatawala soko la uingereza.....etc

Ruge alikuwa na philosopy yake, aliyepo naye ana namna yake ya kufanya kazi.

Mwisho wa siku Ruge ameacha msingi mzuri, ambao hadi leo kazi zinaenda bila rongo rongo, na hicho ndio kitu muhimu katika maisha.
 
Inawezekana,
Maana kuna watu wanondoka na ni potential..
Anaondoka freduwa nafasi anaziba Cza..siyo kwamba cza ni mbaya ila bado
PJ
Now Mandi
cza amekuwepo clouds kabla hata fred kuingia pale.
pia Cza amekuwapo pale akiwa na fred na anastahili kuwapo pale alipo.
na kwa upande wangu cza ni bora kuliko fred na hata silioni pengo la fred
Tatzo lipo XXL ( kama B12 atakuwa kaondoka kweli) na Jahazini naona kama wanabolonga wangemuweka Wasiwasi pale nazan angefit kuliko fetty
 
Inawezekana,
Maana kuna watu wanondoka na ni potential..
Anaondoka freduwa nafasi anaziba Cza..siyo kwamba cza ni mbaya ila bado
PJ
Now Mandi
Mzee hata wakati Ruge Yupo watangazaji Wenye Majina Makubwa walikua wanaondoka Clouds,.

Amina Chifupa,.
Fina Mango
Kipanya
Hando
Gardner G
Dina Marios
Fetty
Ibrahim Maestro
Gef Lea

Ila Clouds haijafa, Kafa Ruge Clouds Bado Ipo inapepea


Clouds ni Taasisi Yenye Mizizi Imara Iliyojichimbia Chini Zaid
 
Muda utasema..pengo la B12 waliopo pale hawawezi li cover..
Watafute submapema
Mzee hata wakati Ruge Yupo watangazaji Wenye Majina Makubwa walikua wanaondoka Clouds,.

Amina Chifupa,.
Fina Mango
Kipanya
Hando
Gardner G
Dina Marios
Fetty
Ibrahim Maestro
Gef Lea

Ila Clouds haijafa, Kafa Ruge Clouds Bado Ipo inapepea


Clouds ni Taasisi Yenye Mizizi Imara Iliyojichimbia Chini Zaid
 
cza amekuwepo clouds kabla hata fred kuingia pale.
pia Cza amekuwapo pale akiwa na fred na anastahili kuwapo pale alipo.
na kwa upande wangu cza ni bora kuliko fred na hata silioni pengo la fred
Tatzo lipo XXL ( kama B12 atakuwa kaondoka kweli) na Jahazini naona kama wanabolonga wangemuweka Wasiwasi pale nazan angefit kuliko fetty
Wengi wamemjua Cza juzi juzi ila alikuwepo muda mrefu japo hakuwa Nyuma ya mic, Fredwaa nae Duuhh
 
Mzee hata wakati Ruge Yupo watangazaji Wenye Majina Makubwa walikua wanaondoka Clouds,.

Amina Chifupa,.
Fina Mango
Kipanya
Hando
Gardner G
Dina Marios
Fetty
Ibrahim Maestro
Gef Lea

Ila Clouds haijafa, Kafa Ruge Clouds Bado Ipo inapepea


Clouds ni Taasisi Yenye Mizizi Imara Iliyojichimbia Chini Zaid
Asante kwa uchambuzi mzuri ndg
 
Hata Meena Ally ataondoka maana sioni akifit pale Clouds, kapewa Amplifier ikamshinda, akapewa Ala za roho nazo kachemka, wakamrusha XxL nako pamejaa watu kibao.
Kushindwa kwake umekupima kwa vigezo vipi..?, kama kashindwa kama usemavyo akisepa atakapokwenda ndio ataweza..?, au itafutwe namna ya kumjenga zaidi
 
Mzee hata wakati Ruge Yupo watangazaji Wenye Majina Makubwa walikua wanaondoka Clouds,.

Amina Chifupa,.
Fina Mango
Kipanya
Hando
Gardner G
Dina Marios
Fetty
Ibrahim Maestro
Gef Lea

Ila Clouds haijafa, Kafa Ruge Clouds Bado Ipo inapepea


Clouds ni Taasisi Yenye Mizizi Imara Iliyojichimbia Chini Zaid
Kitu kidogo unachotakiwa kufahamu, kuna baadhi ya makampuni hupeleka matanhazo kwenye kipindi fulani kutokana na ushawishi wa mtangazaji,
Mfn: Kuna brand moja ya beer ilihitaji tangazo lake lazima lifanywe na Gardner na watasponsor kipindi mwaka mzima but jamaa kama hayupo hawatofanya hivo, Iliwalazimu wamnunue Gardner huko alipokuwa ili aje aingize sauti na arejee kwenye kipindi ili kuwin deal hilo
 
Back
Top Bottom