cza amekuwepo clouds kabla hata fred kuingia pale.Inawezekana,
Maana kuna watu wanondoka na ni potential..
Anaondoka freduwa nafasi anaziba Cza..siyo kwamba cza ni mbaya ila bado
PJ
Now Mandi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongo kilA mtu ni mchambuzi as long as unajua kusoma na kuandika.
Mzee hata wakati Ruge Yupo watangazaji Wenye Majina Makubwa walikua wanaondoka Clouds,.Inawezekana,
Maana kuna watu wanondoka na ni potential..
Anaondoka freduwa nafasi anaziba Cza..siyo kwamba cza ni mbaya ila bado
PJ
Now Mandi
Mzee hata wakati Ruge Yupo watangazaji Wenye Majina Makubwa walikua wanaondoka Clouds,.
Amina Chifupa,.
Fina Mango
Kipanya
Hando
Gardner G
Dina Marios
Fetty
Ibrahim Maestro
Gef Lea
Ila Clouds haijafa, Kafa Ruge Clouds Bado Ipo inapepea
Clouds ni Taasisi Yenye Mizizi Imara Iliyojichimbia Chini Zaid
Wengi wamemjua Cza juzi juzi ila alikuwepo muda mrefu japo hakuwa Nyuma ya mic, Fredwaa nae Duuhhcza amekuwepo clouds kabla hata fred kuingia pale.
pia Cza amekuwapo pale akiwa na fred na anastahili kuwapo pale alipo.
na kwa upande wangu cza ni bora kuliko fred na hata silioni pengo la fred
Tatzo lipo XXL ( kama B12 atakuwa kaondoka kweli) na Jahazini naona kama wanabolonga wangemuweka Wasiwasi pale nazan angefit kuliko fetty
Asante kwa uchambuzi mzuri ndgMzee hata wakati Ruge Yupo watangazaji Wenye Majina Makubwa walikua wanaondoka Clouds,.
Amina Chifupa,.
Fina Mango
Kipanya
Hando
Gardner G
Dina Marios
Fetty
Ibrahim Maestro
Gef Lea
Ila Clouds haijafa, Kafa Ruge Clouds Bado Ipo inapepea
Clouds ni Taasisi Yenye Mizizi Imara Iliyojichimbia Chini Zaid
Kushindwa kwake umekupima kwa vigezo vipi..?, kama kashindwa kama usemavyo akisepa atakapokwenda ndio ataweza..?, au itafutwe namna ya kumjenga zaidiHata Meena Ally ataondoka maana sioni akifit pale Clouds, kapewa Amplifier ikamshinda, akapewa Ala za roho nazo kachemka, wakamrusha XxL nako pamejaa watu kibao.
Nchakali ndio kapewa nafasi ya RugeNcha Kali ndio mrithi wa Ruge.
Czar kaingia km mwanafunzi tu ,akitokea shule Azania ,kulikua na project Ruge anaifanya akachukua vijana wengi tuWengi wamemjua Cza juzi juzi ila alikuwepo muda mrefu japo hakuwa Nyuma ya mic, Fredwaa nae Duuhh
HahahahaMnampa lawama na mzigo usio wake
Jr[emoji769]
Kitu kidogo unachotakiwa kufahamu, kuna baadhi ya makampuni hupeleka matanhazo kwenye kipindi fulani kutokana na ushawishi wa mtangazaji,Mzee hata wakati Ruge Yupo watangazaji Wenye Majina Makubwa walikua wanaondoka Clouds,.
Amina Chifupa,.
Fina Mango
Kipanya
Hando
Gardner G
Dina Marios
Fetty
Ibrahim Maestro
Gef Lea
Ila Clouds haijafa, Kafa Ruge Clouds Bado Ipo inapepea
Clouds ni Taasisi Yenye Mizizi Imara Iliyojichimbia Chini Zaid