Aliyepo Toangoma tushirikiane biashara

Joined
Mar 22, 2022
Posts
15
Reaction score
13
Habari ndugu zanguni.

Nina mtaji wa laki 2
Kama kuna mtu anaishi Toangoma tushirikiane, mimi makazi yangu ni Toangoma tufanye biashara ambayo anadhani tunaweza kuifanya vema kwa mtaji huo. Mimi si mwenyeji hivyo kwa mwenyeji itakua vema zaidi sababu anayajua mazingira yake vema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…