Kumzunguka mtu kwa kizaramo ni tusi kwelikweli, tafadhali mkuu huku kwetu uzaramoni hatuelewi kbs mkuu.... omba radhi!Duuh we jamaa changamoto sana, wanaokuzunguka inawezekana wanapata shida.
Halafu mnatuambia hamuumii sana wala sio ishu sana kupoteza kwa Azam, wakati kumbe hadi mnabeba vinyongo kwa wachezaji wa Azam kwenye timu ya Taifa!Mwosha huoshwa sasa tutaelewana tu
SO AKASABABISHA TZ IFUNGWE?Mwosha huoshwa sasa tutaelewana tu
Nassor Saadun jana alicheza mchezo wa Dar Derby na kumsababaishia kadi nyekundu beki wa Yanga Ibrahim Bacca na Yanga kucheza pungufu kwa katika zaidi ya 80 hapo jana.
Saadun leo amecheza tena mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya CHAN na kaingua kipindi cha pili na kupata kadi nyekundu.
So WHAT YANGA MWENZANGU? WANAOKUZUNGUKA SIJUI WAKOJE AISEEEEMwosha huoshwa sasa tutaelewana tu
Nassor Saadun jana alicheza mchezo wa Dar Derby na kumsababaishia kadi nyekundu beki wa Yanga Ibrahim Bacca na Yanga kucheza pungufu kwa katika zaidi ya 80 hapo jana.
Saadun leo amecheza tena mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya CHAN na kaingua kipindi cha pili na kupata kadi nyekundu.
Kwa hiyo ameikost stars au azam?MAKAMASIMwosha huoshwa sasa tutaelewana tu
Nassor Saadun jana alicheza mchezo wa Dar Derby na kumsababaishia kadi nyekundu beki wa Yanga Ibrahim Bacca na Yanga kucheza pungufu kwa katika zaidi ya 80 hapo jana.
Saadun leo amecheza tena mchezo wa kuwania kufuzu michuano ya CHAN na kaingua kipindi cha pili na kupata kadi nyekundu.