Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
kwani inaongoza serikali nchi hiimadudu mengi yako chadema ndugu
Watanzania mnatumia asilimia 1 ya akili zenu π€£. 99% mmewaachia mabeberuNi kweli kabisa na siwezi kumpinga ili kuhusu IQ yetu tulivyo watanzania.Watanzania kuna sehemu wakoloni wakati wanatugawa waliona akili zetu sio za kongo kuimba mziki wala kenya ubinafsi na kibaraka.
Kiukweli ukiishi nje ya nchi ndio unaona kuwa IQ zetu bado zinatatizo mfano utendaji wetu kuanzia serikali yenyewe mpaka wananchi wake wote ni sawa tu.
Utendaji wa serikali na wananchi unafanana sababu ni wakimatukio na kuangaliana wanacho fanya,hivi leo ukieleza ukweli kwa nini inatumika nguvu ya kujibu kwa vitendo sio kwa hoja.
Mweshimiwa lisu ukweli wake unajibiwa kwa nguvu na ccm nzima
ni kweli IQ finyu ni pamoja na kulalamikia jambo bila kuibua alternative plans πNi kweli kabisa na siwezi kumpinga ili kuhusu IQ yetu tulivyo watanzania.Watanzania kuna sehemu wakoloni wakati wanatugawa waliona akili zetu sio za kongo kuimba mziki wala kenya ubinafsi na kibaraka.
Kiukweli ukiishi nje ya nchi ndio unaona kuwa IQ zetu bado zinatatizo mfano utendaji wetu kuanzia serikali yenyewe mpaka wananchi wake wote ni sawa tu.
Utendaji wa serikali na wananchi unafanana sababu ni wakimatukio na kuangaliana wanacho fanya,hivi leo ukieleza ukweli kwa nini inatumika nguvu ya kujibu kwa vitendo sio kwa hoja.
Mweshimiwa lisu ukweli wake unajibiwa kwa nguvu na ccm nzima
kwani elimu yako imetoka wapi na kwa nini unajifunza kwa wenye mafanikio sio wasio na mafanikioni kweli IQ finyu ni pamoja na kulalamikia jambo bila kuibua alternative plans π
lakini kufanywa kibaraka na mabwenyenye ya ng'ambo ni dalili ya wazi kabisa iliyokamilika ya ufinyu wa IQ ya mtu, kukubali kukamatwa akili na kutumika kama remote control π
Labda ana maanisha ile ya kundi! Kuna IQ ya mmoja mmoja na ile ya kundi."Iq yetu=Iq zetu"
Lissu mmoja ni Sawa na CCM nzima!Mweshimiwa lisu ukweli wake unajibiwa kwa nguvu na ccm nzima
Kuwa mfuasi wa CCM inabidi uvute bangi kidogokama waliweza kusema mwendazake kaletwa na Mungu na sasa wanamponda kuwa alikuwa kichaa unategemea nini? intelectuals wanaachwa vyeo wanapeana kiimani na kikabila mbaya zaidi wale failures ndio wanapewa shavu , vilaza ambao hata hawajui what is my name ndio wamejaa kwenye mawizara na taasisi nyeti. SHAME
Hili hata mimi huwa nasemaga watanzania wengi ni emptyWatanzania mnatumia asilimia 1 ya akili zenu π€£. 99% mmewaachia mabeberu
CoolβββLabda ana maanisha ile ya kundi! Kuna IQ ya mmoja mmoja na ile ya kundi.
kweli IQ ni ya kiwango cha chini sana kwa stahili hii πkwani elimu yako imetoka wapi na kwa nini unajifunza kwa wenye mafanikio sio wasio na mafanikio
CHADEMA onaongoza nyumbu.kwani inaongoza serikali nchi hii