Aliyesema "Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu" atusaidie

Aliyesema "Tanzania ni kichwa cha mwenda wazimu" atusaidie

Rajab_B3

Member
Joined
May 11, 2017
Posts
59
Reaction score
24
all_in_all_for_taifa_stars_against_rwanda_in_kigali_this_afternoon_h5210_40ef7.jpg

Hivi timu zetu za Taifa za mpira wa miguu upande wa wanaume na wavulana kwanini zinaharibu kila kukicha na kutuumiza sisi mashabiki? Tatizo ni Kocha, Wachezaji, Shirikisho la mpira, au Serikali?

Aliyepanga mechi ya Taifa stars ikachezwe Chamazi tukatoa sare na nahodha akasema udogo wa uwanja umechangia matokeo mabovu ni nani? Wakarudia kosa tena wakapanga mechi mwanza sikumbuki kocha alijetetea kwa lipi?

Tutaendelea kuwa kichwa cha Mwendawazimu mpaka lini?

Kama vipi timu za Taifa zifutwe tu kuliko kufungwa fungwa kila siku
 
Mpira wa Tanzania hauwezi kukua Kwa sababu umejaa ubaguzi (1)kuibagua timu ya taifa ya wanawake hata wakifanya vizuri bungeni hawaitwi japo ndio timu pekee inayocheza Kwa uzalendo na wangefika mbali zaidi kama wangepata sapoti (2) siku simba na yanga zikiuzwa ndio tutapata timu nzuri ya taifa Kwa sababu hawa ndio wanauwa soka letu Kwa ubaguzi wao na kuacha wachezaji wazuri walioko timu zingine (3)vijana waache utozi tabia zao za kuendekeza ngono wapatapo ela inachangia pia kuuwa soka mfano wakipata ela baadhi huongeza wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira wa Tanzania hauwezi kukua Kwa sababu umejaa ubaguzi (1)kuibagua timu ya taifa ya wanawake hata wakifanya vizuri bungeni hawaitwi japo ndio timu pekee inayocheza Kwa uzalendo na wangefika mbali zaidi kama wangepata sapoti (2) siku simba na yanga zikiuzwa ndio tutapata timu nzuri ya taifa Kwa sababu hawa ndio wanauwa soka letu Kwa ubaguzi wao na kuacha wachezaji wazuri walioko timu zingine (3)vijana waache utozi tabia zao za kuendekeza ngono wapatapo ela inachangia pia kuuwa soka mfano wakipata ela baadhi huongeza wake

Sent using Jamii Forums mobile app
Point number 2 ni sahihi kabisa. Point number 3 unamsema Ngassa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom