Aliyesoma CBG naweza kusomea Medicine?

Ikiwa umesoma CBG A-level unaweza kusoma medicine

Zamani kabla ya TCU ilikua inawezekana, ila siku hizi hata kama una division one huwezi kusoma medicine na CBG Tanzania, labda nje ya nchi. Hata za private kama Imtu watakuambia live hawawezi kukuchukua. We Jaribu utakuja kuniambia. Pole sana....... Utakapo chagua kozi zingatia mambo mengi pamoja wa mazingira ya kazi na soko la ajira.... Ila kama pesa unayo na hujakataa tamaa juu ya ndoto zako za kua daktari, karegister mitihani ya Cambridge hapa East Africa kama private candidate.
 
Ikiwa umesoma CBG A-level unaweza kusoma medicine

hupati ..chalii .angu ..wanakudanganya.... bugando... nao .wnataka .pcb . ata .pharmacy. ya xa iv ni pcb.. ata ..prosthetics.. ni ..pcb. afu .slots. zko. 10. tu.. ambazo .mimi ..na marafk zangu tumeshaaply.. wote ..tuna tano .. A na .B .plus... mbili ....ko hawawez... kukuchukua ....nenda .....education...
 

mimi pia CBG napga pharmacy stjohn niliipata kwa cut off points ya 6 kwenye bio&chem.,usimkatishe tamaa jamaa kama kapga vizuri atapata
 
Hapo physics ya O'level imekuharibia, lkn usikate tamaa you can carry on and taste your luck...

Kukushauri tu, kwa ufaulu wako+comb yako, kama unataka field ya afya you can do Bsc. Prosthetics & orthotics ya KCMC, you'll never regret dogo.

mkuu ONTARIO nimeipenda hiyo paragraph ya mwisho... sema wengi hawaijui hiyo kozi.... hii kozi ya viungo iko KCMC tu kwa mashariki mwa africa...nadhani mtoa mada aifikirie na hii pia maana future yake iko vizuri..
 
Last edited by a moderator:
Hapo physics ya O'level imekuharibia, lkn usikate tamaa you can carry on and taste your luck...

Kukushauri tu, kwa ufaulu wako+comb yako, kama unataka field ya afya you can do Bsc. Prosthetics & orthotics ya KCMC, you'll never regret dogo.

mkuu ONTARIO nimeipenda hiyo paragraph ya mwisho... sema wengi hawaijui hiyo kozi.... hii kozi ya viungo iko KCMC tu kwa mashariki mwa africa...nadhani mtoa mada aifikirie na hii pia maana future yake iko vizuri.. kwa kuongezea tu....kuna veterinary medicine SUA..
 
Last edited by a moderator:
Hapo physics ya O'level imekuharibia, lkn usikate tamaa you can carry on and taste your luck...

Kukushauri tu, kwa ufaulu wako+comb yako, kama unataka field ya afya you can do Bsc. Prosthetics & orthotics ya KCMC, you'll never regret dogo.

mkuu ONTARIO nimeipenda hiyo paragraph ya mwisho... sema wengi hawaijui hiyo kozi.... hii kozi ya viungo iko KCMC tu kwa mashariki mwa africa...nadhani mtoa mada aifikirie na hii pia maana future yake iko vizuri.. kwa kuongezea tu....kuna veterinary medicine SUA..
 
Last edited by a moderator:


Dad LORDVILLE, tatizo wanao siku hizi tumekariri sana, pia tunafanya kila kitu kwa mazoea, tunajudge fortunes zetu kwa kile tunachokiona kwa sasa bila kutrace its long run...
 
Last edited by a moderator:
Dad LORDVILLE, tatizo wanao siku hizi tumekariri sana, pia tunafanya kila kitu kwa mazoea, tunajudge fortunes zetu kwa kile tunachokiona kwa sasa bila kutrace its long run...

You are right son... i believe Mr. Mkwachu will think again about this course...and believe me..this is so challenging period for most of students, and any decision will reflect one's future!! They need enough time to do research otherwise they'll subject their future into regrets!! na hamna kitu kibaya kama hucho...
 
Last edited by a moderator:
Dad LORDVILLE, tatizo wanao siku hizi tumekariri sana, pia tunafanya kila kitu kwa mazoea, tunajudge fortunes zetu kwa kile tunachokiona kwa sasa bila kutrace its long run...

You are right son... i believe Mr. Mkwachu will think again about this course...and believe me..this is so challenging period for most of students, and any decision will reflect one's future!! They need enough time to do research otherwise they'll subject their future into regrets!! na hamna kitu kibaya kama hucho...
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu JF,

Naomba Msaada et mtu akitaka kua mtaalam wa madawa asome course ipi na hiyo course inapatikana katika vyuo vp hapa Tanzania ?
 
you did not specify which kind of medicine you want to study,i selected pharmacy because i was dreaming one day to be a proffesional in human medicine while my friend prefered veterinary medicine
 

Naona ushakua Mungu sikuizi eti? We hujui mbele yangu kunanini au ndio Ulitaka nijue kua una 1 eti??
 
Hahaha hata mm PCM sijui naweza kupata doctor of medicine?
 
soma cozi inaitwa sociology apo utakua mtaalamu wa madawa kama kawa!,,,aisee umeniboa sana yan rekebisha kichwa cha habar maana nilijua inanihusu akati naona mapichapicha tu!
 
pharmacy pcm pcb na cbg wote wanawez kuisma refer ktab cha tcu
 
Unaweza kutumia matokeo ya kidato cha nne kusoma diploma ya clinical medicine kama una c ya bilogy c ya chemistry name d ya physics.cheki name jamaa WA city college of health and Allied sciences kwa 0769566282
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…