Nkulu wa nchito
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,112
- 1,429
Eti waungwana mtu ambaye amesoma course ya community development ni wizara gani anaweza pata kazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TAMISEMIEti waungwana mtu ambaye amesoma course ya community development ni wizara gani anaweza pata kazi
AsanteTAMISEMI
SawaTusubr wajuvu wa hii kitu wanakuja[emoji433].
"amesoma course ya community development" Pamoja na comment iliyotangulia .i.e. TAMISEMI lakini pia Wizara nyingine huhitaji watu wenye Taaluma hiyo e.g. Mambo ya ndani wanawahitaji pale Dawati la Jinsia; Afya wanawahitaji pale Jinsia, Wazee na Watoto yaani tuseme Wizara yoyote alimradi inajihusisha na Shughuli za kuiendeleza Jamii ama kwa kutumia Asasi za kiserikali e.g. TASAF au Direct kwa Miradi ya maendeleo ndani ya Jamii - Uhamasishaji, Ufundishaji na kuendesha mchakato wa Mbinu za Kuibua na Kupanga vipaumbele katika Miradi ya Jamii n.k.Eti waungwana mtu ambaye amesoma course ya community development ni wizara gani anaweza pata kazi
Kwahyo hata wizara ya afya mkuu"amesoma course ya community development" Pamoja na comment iliyotangulia .i.e. TAMISEMI lakini pia Wizara nyingine huhitaji watu wenye Taaluma hiyo e.g. Mambo ya ndani wanawahitaji pale Dawati la Jinsia; Afya wanawahitaji pale Jinsia, Wazee na Watoto yaani tuseme Wizara yoyote alimradi inajihusisha na Shughuli za kuiendeleza Jamii ama kwa kutumia Asasi za kiserikali e.g. TASAF au Direct kwa Miradi ya maendeleo ndani ya Jamii - Uhamasishaji, Ufundishaji na kuendesha mchakato wa Mbinu za Kuibua na Kupanga vipaumbele katika Miradi ya Jamii n.k.
Hii ni tofauti na Ustawi wa Jamii ambayo Ustawi wa jamii imekaa kisheria zaidi.
I stand to be corrected
Naam. Ndiyo.Kwahyo hata wizara ya afya mkuu
ShukranNaam. Ndiyo.
Safi kabisa Mkuu. La msingi ni asiwe ni mtu anayechagua kituo au nafasi. Akiambiwa aende kijijini asianze "Oh! kijijini na Degree yangu?! au akiambiwa ajitolee kwanza kwa muda kidogo asianze "Oh! sijaja kutangaza enjili hapa"Fursa zipo Halmashauri kuwa Afisa Maendeleo ya Jamii, pia ngazi ya Kata kama Mtendaji wa Kata, Mtaa au Kijiji kutegemea na level ya elimu yako
OkFursa zipo Halmashauri kuwa Afisa Maendeleo ya Jamii, pia ngazi ya Kata kama Mtendaji wa Kata, Mtaa au Kijiji kutegemea na level ya elimu yako
The field is very broad. Naweza kufanya hadi customer care, administration, Afya, kilimo, hadi viwanda kwenye mambo ya mobilization maana yote hayo amesomeaEti waungwana mtu ambaye amesoma course ya community development ni wizara gani anaweza pata kazi.