Aliyesoma Elimu ya Masafa(ya Mtandao) kama Open University akikutana na waliosoma UDSM, SAUT na Mzumbe anatakiwa Kuchangia lolote?

We mtoa mada serikali inasisitiza COMPETENCE BASED T/L ambapo mwanafunzi anapewa activities afanye mwenyew, wewe bado umekariri kufundishwa na mwalimu mwanzo mwisho.
 
hilo ni popoma kama mleta mada
 
GENTMYCINE leo umeandika UTOPOLO sana unajishushia heshima yako na unaonekana hujaelimika na kustaarabika.
Nenda kafanye utafiti pitia site moja inaitwa Edx hii ni elimu masafa katika mambo ya teknolijia.
Jinsi hiyo site ilivyo interactive katika kufundisha hakuna chuo bongo kina teknolijia kama za Edx.
Hii ilianzishwa na MIT na imeuzwa mabilioni ya pesa na inataka kufanywa Chuo kikubwa cha kisasa cha mtandaoni.
It is very modrrn way of teaching ambapo hata sisi ingebidi tu adapt hio teknolojia badala yake wnajitokeza watu wenye fikra za kizamani sana.
Lecture method is a very primitive way of t/ l tangu enzi za kina Plato na Sokreti kabla ya kuzaliwa kristo, ni njia ya kizamani sana, imepitwa na wakati.
Change your mind.
 
Kwanini unapenda kuanzisha threads za kukashifu wenzako? Utashambuliwa na watu wa OUT kwa vile unawakashifu
Tanzania Vyuo Vikuu ni UDSM, SAUT Mwanza, Mzumbe na Tumaini labda na kidogo sana UDOM, ila vilivyobaki hamna Kitu. Huu ni mtazamo wangu na Uheshimiwe ila ukikukwaza tafuta Sumu ya Panya Koroga unywe Ufe.
 
Mkuu umenikumbusha kina jamaa mmoja askari alisoma uhasibu yeye alikuwa anachukua time table pale chuoni , mambo mengine hayamuhusu mtaonana siku ya paper na test, assigment anajua mwenyewe alivyofanya.
Baba zoma ikakae darasani wakati unamajukumu ya familia.
 
Kuna Mtu Mmoja wa TCU aliniambia kuwa Mwanafunzi Mmoja wa SAUT Mwanza ( Chuo Kiku bora cha GENTAMYCINE Tanzania ) ni sawa na Wanafunzi 15 wa OUT ( Chuo Kikuu Huria ) cha Biafra je, unakubali au unakataa?

Leo Wanafunzi wa OUT mtanikoma JF.
 
Kwani SAUT na OUT mna tofauti?.
SAUT Mwanza ndiyo Chuo Kikuu pekee Tanzania nzima ambacho kinafundisha Wanafunzi 'Brainy' kabisa na Kinazalisha 'Think Tanks' na 'Intellectuals' wa Ukweli.

Kama hujasoma SAUT Mwanza jinyonge.
 
Mkuu nisingechokoza kwa Kuwatia Ndimu ( Kuwapandisha Hasira ) waliosoma na wanaosoma OUT ambao Wengi wao ndiyo nawaona Wanachangia huu Uzi wangu haya Madini yao ningeyajuaje / tungeyajuaje?

Napenda tu Kuchokoza ili nijue mengi.
 
Sasa popoma ni lini ulisoma chuo lakini?

Mbuzi kuchunga umemuachia nani huko bunda?
Wewe Pimbi una bahati sana ni Mtani wangu kutoka moja ya haya Makabila ya Watani zangu ya Wahaya, Waha, Wanyiramba, Wanyaturu, Warangi, Wanyamwezi na Wakara, ila usingetokea huko ungenitambua hapa JamiiForums na kujua kwanini Wimbo wa Taifa hauna Kolabo na kwanini pia Nyoka hana Ugoko.
 
Mleta mada ametumia mbinu ya uchochezi ili kuibua mjadala na kufanya watu washushe nondo zao. Educative thread!
 
We genta nawe swali gani hilo.
Sasa kuku wa kisasa na kuku wa kienyeji nani ana akili zaidi.
Utalinganisha mtu aliyejitafutia mwenyewe materials hadi akafaulu na mtu aliyesubiria kuletewa material na lecture?
Hivi ni Lecturer au ni Lecture kama ulivyoandika hapa mwishoni? Nikisema mliosoma / mnaosoma OUT hamna Kitu 'Vichwani' muwe mnanielewa tafadhali sawa?
 
SAUT Mwanza ndiyo Chuo Kikuu pekee Tanzania nzima ambacho kinafundisha Wanafunzi 'Brainy' kabisa na Kinazalisha 'Think Tanks' na 'Intellectuals' wa Ukweli.

Kama hujasoma SAUT Mwanza jinyonge.
Nilicho shangaa ni kuona SAUT katikati ya UDSM na MZUMBE...unakosa heshima sana Genta, SAUT mwenzake DSJ.
 
Labda anataka kuwa lecture
Wewe Pimbi ni Lecturer na siyo Lecture sawa? Hebu rekebisha upesi kote ulikokosea kwa kuandika Lecture badala ya Lecturer. Fanya haraka!!
 
Mkuu unanipiga mabiti hata Mimi😀😀😀
 
Mleta mada ametumia mbinu ya uchochezi ili kuibua mjadala na kufanya watu washushe nondo zao. Educative thread!
Huwa nafurahi sana kukutana na Watu 'Genius' kama Wewe hapa JamiiForums na ambao huwa mnanielewa upesi GENTAMYCINE na aina yangu ya Mada hapa pamoja na uibuaji wangu wa Masuala ( Issues ) ambazo huwa zinahitaji Mjadala mpana wa Wana Taaluma na Great Thinkers Kuujadili.

Watu wengi wanadhani nakashifu OUT.
 
Lecturers wetu kweli wanakopi notes na maswali online hasa zile sites za kulipia. Mara kadhaa nikiwa nasoma online huwa nakumbana na maswali ninayoulizwa kwenye test au UE. Alafu wanapenda kurudia maswali kutoka mwaka mmoja kwenda mwingine
 
Kwenye university ranking, OUT ni ya ngapi?
Kwa Tanzania ni cha 103

Kwa Afrika Mashariki ni cha 3,971

Kwa Afrika nzima ni cha 79,200

Kwa dunia nzima ni cha 758,222
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…