Aliyesoma Elimu ya Masafa(ya Mtandao) kama Open University akikutana na waliosoma UDSM, SAUT na Mzumbe anatakiwa Kuchangia lolote?

Waliozoea spoon feeding hutawasahau !!!!
 
Umemjibu vyema mpumbavu huyo

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Vijiweni mnakaa nyie wajinga,mtu mwenye elimu yake na anayejitambua hawezi Kaa kijiweni na kupoteza muda wake,kwa mada zenu za uongo na kuwasema watu
 
Acha kunipotezea muda wangu Zuzu Wewe.
 
Vijiweni mnakaa nyie wajinga,mtu mwenye elimu yake na anayejitambua hawezi Kaa kijiweni na kupoteza muda wake,kwa mada zenu za uongo na kuwasema watu
Pumbavu aliyekuambia kuwa Vijiweni ni kubaya na hakufai nani? Rais Mstaafu Kikwete kabla na hata sasa alikaa na hukaa Kijiwe chake Kikubwa cha Saigoni. Je, nae ni Muhuni au hana au hakuwa na Kazi au Mambo muhimu ya Kufanya?

Kuna Kazi tena Muhimu na Kubwa katika Jamii na huenda hata kuliko yako huwezi kuifanya na kufanikiwa nayo Kiutendaji kama hukai Vijiwe mbalimbali. Je, Vijiweni ni Kubaya?

Kuna Watu leo hii wana Ajira zao Kubwa huenda kuliko yako na wengine wanapata 'Connections' za Biashara kupitia kukaa Kwao huko Vijiweni unakokudharau. Je, Vijiweni ni kubaya?

Nimekudharau zaidi na hauna Akili pia.
 
Busy body.... Hana shughili ya kufanya.
 
Kumbe huyu genta ni kilaza wa kutosha! Yaani taasisi inaitwa university ina matawi nje ya nchi na mataifa Mbali2 wanakuja kusoma/wanaenda fundishwa huko kwao. Jamaa anakichukulia poa! Mburura genta.
 
Punguza sifa mkuu
 
Hao walosoma UDSM mbona basi wasitatue shida ya maji na umeme ndo tujue kweli vidume walijipinda?mbona wasitatue changamoto za infant and maternal mortality?kama haya wameshindwa then haupaswi kuwanadi kama watu fulani exceptional,
 
Kusoma na maisha ni vitu viwili tofauti unaweza ukawa umesoma sana unavyojua wewe lakini mwisho wa siku unaishia mtaani !!!!!!

Kuna vijana wameishia form four wameajiriwa polisi,jeshini,tiss, uhamiaji n.k wana maisha mazuli wamejenga na wanajitegemea

Wewe mwenzetu unaringia degree yako alafu upo mtaani mwaka wa kumi huna ajira na bado unaishi kwa kaka
 

OUT iko chini ya usimamizi wa TCU pia UDSM sio SAUT, Mzumbe,SUA, au Ardhi au Muhimbili, there is always varitions/diversities hata swala5 hujiona zaidi, Mlokole pia, hata mashule wa special schools wapo, swali lako ni fikirishi sana
 

Kingine hata darasani kwake ufaulu na akili havikufanana, ni hii ni toka aanze shule. God is God of variety in all aspects. Bahati ya Mungu kusoma vyuo vizuri nje ya Tanzania haiwezi nipa upekee wa kujitukuza, ni mipango ya Mungu kila mtu na fungu lake.
 
Pumbaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…