lee gangmo01
New Member
- May 5, 2016
- 2
- 2
Wadau wa jamii forums kwema?
Niko hapa kupata mawazo yenu kama ilivo kawaida kupeana ujuzi katika vitu vinavyotuzunguka, nina dogo langu kahitimu advance mwaka huu na kapiga hgk, so dogo now huwa ananiomba ushauri kila kukicha kuwa broo before results hazijatoka uwe unanisaidia mawazo ili zikitoka basi nitume maombi chapu. Kwa wenye uzoefu kwa mtu aliepiga hgk wadau kulingana na uhitaji wa soko la ajira kwa sasa, huyu dogo inabidi apige nini University?
Niko hapa kupata mawazo yenu kama ilivo kawaida kupeana ujuzi katika vitu vinavyotuzunguka, nina dogo langu kahitimu advance mwaka huu na kapiga hgk, so dogo now huwa ananiomba ushauri kila kukicha kuwa broo before results hazijatoka uwe unanisaidia mawazo ili zikitoka basi nitume maombi chapu. Kwa wenye uzoefu kwa mtu aliepiga hgk wadau kulingana na uhitaji wa soko la ajira kwa sasa, huyu dogo inabidi apige nini University?