Aliyetufikisha Uchumi wa Kati ni Kikwete na siyo Magufuli, acheni kudanganya!

Yani lile fisadi la msoga lifikishe nchi uchumi wa kati? Wakati mishahara tu ya kulipa watumishi wa umma ilikua hadi likakope kwa wafanya biashara wahuni na mabeberu? Na watumishi walipokea mishahara tarehe 40 mpaka 50 hahaha
 
NAWAONA wazee wa regacy mnakulana wenyewe kwa wenyewe, kulaneni tu
 
Afi alipokufa jiwe tukarudi uchumi wa chini, kuna wajinga wayakuja kusema aliyrirudisha nchi uchumi mdogo ni jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…