Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Anasema bado ajira ni tatizo mtaani licha ya matangazo mengi ya nafasi za kazi.
Bado mashoga wanapigania haki zao kama haki zingine.
Bado watu wananunua upendo, toa pesa upate penzi.
Bado mikeka inachanika kwa kasi sana ukiweka over inatoa under.
Aliyetumwa ameona wadada wengi wakiuza utu kwa iPhone.
Anasema waliofanikiwa hawaamini kwenye kusafisha njia na hadithi nyingi za mafanikio zimejaa simulizi za kutisha.
Huko vyuoni kuna watu hawataonekana darasani lkn mtawaona kwenye maafari.
2025 cheo ni vita, wafanyakazi wanapishana sana kwa waganga.
Sad story aliyetumwa akachungulie mwaka 2025 anasema kuna watu hawaoni.
Mtag mwanao wa faida asipitwe na andiko muhimu
Mkweli Alcantara
Bado mashoga wanapigania haki zao kama haki zingine.
Bado watu wananunua upendo, toa pesa upate penzi.
Bado mikeka inachanika kwa kasi sana ukiweka over inatoa under.
Aliyetumwa ameona wadada wengi wakiuza utu kwa iPhone.
Anasema waliofanikiwa hawaamini kwenye kusafisha njia na hadithi nyingi za mafanikio zimejaa simulizi za kutisha.
Huko vyuoni kuna watu hawataonekana darasani lkn mtawaona kwenye maafari.
2025 cheo ni vita, wafanyakazi wanapishana sana kwa waganga.
Sad story aliyetumwa akachungulie mwaka 2025 anasema kuna watu hawaoni.
Mtag mwanao wa faida asipitwe na andiko muhimu
Mkweli Alcantara