Aliyevuliwa UASKOFU Kanisa la KKKT, Dkt. Mwaikali akubali kurejesha mali za Kanisa

Aliyevuliwa UASKOFU Kanisa la KKKT, Dkt. Mwaikali akubali kurejesha mali za Kanisa

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Wakati mgogoro ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Dayosisi ya Konde ukifikia kwenye hatua ya kugombea mali, imefahamika kuwa hatimaye upande wa uongozi uliondolewa madakani umekubali kurejesha mali za kanisa hilo.

Mgogoro uliibuka baada ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Geofrey Mwakihaba huku aliyevuliwa Uaskofu na madaraka mengine yote Dkt. Edward Mwaikali ikidaiwa yeye na wanaomuunga mkono kugoma kurejesha mali za kanisa hilo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei amesema: “Nimekutana na pande zote, uongozi wa sasa na ule wa zamani unaoongozwa na Dkt. Mwaikali ambaye amerithia mbele yangu kuwa atarejesha mali zote ikiwemo magari, zoezi hilo litaendelea hadi kufikia Juni 22, 2022 pia na yeye ameomba apatiwe stahiki zake.”
 
Haya makanisa ni miradi tu ya watu ndio maana kuondolewa kwenye ulaji lazima ubishi kidogo
 
Ukitaka kujua rangi ya binadamu gusa pahala pa kupatia chochote
 
Wakati mgogoro ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Dayosisi ya Konde ukifikia kwenye hatua ya kugombea mali, imefahamika kuwa hatimaye upande wa uongozi uliondolewa madakani umekubali kurejesha mali za kanisa hilo.

Mgogoro uliibuka baada ya kuwekwa wakfu kwa Askofu Geofrey Mwakihaba huku aliyevuliwa Uaskofu na madaraka mengine yote Dkt. Edward Mwaikali ikidaiwa yeye na wanaomuunga mkono kugoma kurejesha mali za kanisa hilo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ulrich Matei amesema: “Nimekutana na pande zote, uongozi wa sasa na ule wa zamani unaoongozwa na Dkt. Mwaikali ambaye amerithia mbele yangu kuwa atarejesha mali zote ikiwemo magari, zoezi hilo litaendelea hadi kufikia Juni 22, 2022 pia na yeye ameomba apatiwe stahiki zake.”
Huyu Mwaikali ni kati ya watu waliosoma lakini wajinga kupindukia. Inaelekea sasa baada ya kuonja lupango ndio anaelewa.
 
nDkt. Mwaikali ambaye amerithia mbele yangu kuwa atarejesha mali zote ikiwemo magari, zoezi hilo litaendelea hadi kufikia Juni 22, 2022 pia na yeye ameomba apatiwe stahiki zake.”
Stahiki zake atakazolipwa ni NSSF za uaskofu zitakoma siku aliyovuliwa madaraka baada ya hapo hataipata stahiki za Askofu mstaafu sababu yeye sasa ni muumini wa kawaida

Amechelewa angerudisha stahiki zake zingekuwa kubwa
 
Stahiki zake atakazolipwa ni NSSF za uaskofu zitakoma siku aliyovuliwa madaraka baada ya hapo hataipata stahiki za Askofu mstaafu sababu yeye sasa ni muumini wa kawaida

Amechelewa angerudisha stahiki zake zingekuwa kubwa
Hana akili, amesoma na ana zphD, lakini hajaelimika.
Mshauri mkuu ni Mwambola mwenye historia mbaya sana, na sangoma wake Malawi.
Ndiyo maana anaonekana kama hamnazo.
 
Back
Top Bottom