Aliyevunja tamasha la T.I kwa kusababisha mauaji akamatwa na polisi

QALLI MIZOH

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2014
Posts
2,075
Reaction score
698
Baada ya kuvunjika kwa tamasha la T.I, Mei 25 kwenye ukumbi wa Irving Plaza, New York baada mtu mmoja kufyatua risasi na kusababisha mauaji ya mtu mmoja [Ronald MC Phatter.] na kujeruhi watu watatu, polisi wamemkamata mtuhumiwa wa tukio hilo.



Mtuhumiwa huyo ambaye ni rapper wa Marekani anayejulikana kama Troy Ave, anatuhumiwa kwa kufanya tukio hilo la mauaji na kujeruhi kutokana na kamera zilizopo kwenye ukumbi.


Troy Ave, mtuhumiwa wa mauaji

Kutokana na tukio hilo lililotokea rapper T.I amepost Instagram kwa kuandika: “My heart is heavy today. Our music is intended to save lives, like it has mine and many others. My heartfelt condolences to the family that suffered the loss & my prayers are with all those injured. Respectfully, Tip.”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…