Kuna " promosheni" ya shinda PASSO na CRDB ukitumia SIMBANKING. Hivi kuna aliyewahi kushinda hii promosheni tangu ianze ? Kulikua na haja ya kuudanganya umma wa watanzania kwamba unaweka promosheni halafu gari huzawadii hata mtu mmoja....
Ukiwa unaanzisha thread fanya utafiti wa kutosha.
Sentensi yako ingeishia kwenye swali tu au ingebaki kama ulivyoanza na sio kuweka hilo hitimisho kuonyesha kwamba una uhakika hakuna aliyewahi kushinda.
Mimi nimeshaona mshindi akikabidhiwa na pia kuna mshindi ambaye namjua mpaka jina yupo Morogoro naye pia ameshinda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.