Aliyewahi kushinda PASSO toka CRDB ajitokeze na mimi nimzawadie

saidyakub

Senior Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
181
Reaction score
71
Kuna " promosheni" ya shinda PASSO na CRDB ukitumia SIMBANKING. Hivi kuna aliyewahi kushinda hii promosheni tangu ianze ? Kulikua na haja ya kuudanganya umma wa watanzania kwamba unaweka promosheni halafu gari huzawadii hata mtu mmoja....
 
Ukiwa unaanzisha thread fanya utafiti wa kutosha.
Sentensi yako ingeishia kwenye swali tu au ingebaki kama ulivyoanza na sio kuweka hilo hitimisho kuonyesha kwamba una uhakika hakuna aliyewahi kushinda.
Mimi nimeshaona mshindi akikabidhiwa na pia kuna mshindi ambaye namjua mpaka jina yupo Morogoro naye pia ameshinda.
 
Mbona washindi kila mwezi wanatangazwa na kuoneshwa katika vyombo vya habari?? Nimeshuhudia watatu, Mbeya, Moro na Dar.
 
Bora hata hii ya CRDB ile ya Vodacom milioni Mia kila siku ndio ulikuwa wizi mchana kweupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…