Inabidi utaanza kumgombania mjamaa? au Utamfanya nini B? grabbed her hair...and screaming stuff like ? leave my husband, you daughter of @#@#$#!$#V... hahaha yeye (husband) atakuwa very entertained....ujue dearest, u have a point.........yaani unifanyie madudu huko mabli na nisiyajue!! hamna kitu mbaya kam kujua kun alimtu linanyemelea chako aisee, tena anawinda mpaka maeneo ya home kiivo, dharau gani hizo sasa.
cheza na mimi usicheze na wangu lol!!!
Inabidi utaanza kumgombania mjamaa? au Utamfanya nini B? grabbed her hair...and screaming stuff like "? leave my husband, you daughter of @#@#$#!$#V... hahaha yeye (husband) atakuwa very entertained....
Ivi kwana ataanzaje kukufata nyumbani...hahhahaa wengine nyie mlitakiwa muwe ma sister...huyo wa kunifata nyumbani kwangu ajiandae kwenda MOI moja kwa moja.
Ivi kwana ataanzaje kukufata nyumbani...hahha
hahaaaaaaaaaaaaa best umenichekesha asubuhi mapema leo.
sio kiivo bana, ujue bana mimi huwa na-imagination zangu mwenyewe when it comes to'my husband' hapo ndipo huwa naambiwa its only because am still out of that 'box'
wala sitapaparika kam unavofikiri..........kimya kimya tu!
hha i thought u will turn her into bald...kumbe utadeal nae ki Gandhi au ki Mandela....? ahh mie asije jaribu kusogea kwenye territory yangu bana, both of them will pay the price...haki tena....hahaaaaaaaaaaaaa best umenichekesha asubuhi mapema leo.
sio kiivo bana, ujue bana mimi huwa na-imagination zangu mwenyewe when it comes to'my husband' hapo ndipo huwa naambiwa its only because am still out of that 'box'
wala sitapaparika kam unavofikiri..........kimya kimya tu!
hha i thought u will turn her into bald...kumbe utadeal nae ki Gandhi au ki Mandela....? ahh mie asije jaribu kusogea kwenye territory yangu bana, both of them will pay the price...haki tena....
nakuonea mpaka na huruma.
safi kabisa!!! hahhaha kwahiyo baba alikuwa kalala gladly watching the movie:A S shade: kweli hii ni exhausting game haki tena...........yaani cjui wanakuwa wamedanganywa nini na huyo mwanaume mpaka kufikia hapo, ilishamtokea rafiki yangu, mumewe alikuwa anaumwa hawara kaenda mpaka home kumsalimia, balaa aliloondoka nalo hapo hakulitegemea coz milango yote ilifungwa, mama na watoto walimpa za kutosha...baba alikuwa amepata ajali so ni wa kulala tu(alijionea movie)
safi kabisa!!! hahhaha kwahiyo baba alikuwa kalala gladly watching the movie:A S shade: kweli hii ni exhausting game haki tena...........
walimcharaza vibaya kabisa, baba hakuamini mpaka alilia machozi akiomba mkewe amsamehe kwa yaliyotokea, yani kuna vitu ambavyo unaweza kumshangaa human being kabisa...sasa cjui angevunjwa kiuno angesemaje, mie ningejimtia alama anikumbeke milele.
Kama mumeo ndo anacheza na yeye hapo inakuaje?alaaaa!! mume mtamu dearest huh!!! si unaona mi ndo mana nasema 'cheza na mimi' usicheze na 'mume wangu'............tena dharau zilizopitiliza kama hizo ........I would be too nice to her nimwache tu aende na kovu tu.
haha kwenye blue kweli kabisa unaweza kuwa kama a stray dog!.... in bold hhahha nimecheka mpaka basi ...nukuaminia Dear...hakuna masikhara kwenye maisha bana...utakuta umepata tabu kufanya maisha na huyo baba halafu anakuja mtu atoke alipo aje kukuharibia.....walimcharaza vibaya kabisa, baba hakuamini mpaka alilia machozi akiomba mkewe amsamehe kwa yaliyotokea, yani kuna vitu ambavyo unaweza kumshangaa human being kabisa...sasa cjui angevunjwa kiuno angesemaje, mie ningejimtia alama anikumbeke milele.
alaaaa!! mume mtamu dearest huh!!! si unaona mi ndo mana nasema 'cheza na mimi' usicheze na 'mume wangu'............tena dharau zilizopitiliza kama hizo ........I would be too nice to her nimwache tu aende na kovu tu.
haha kwenye blue kweli kabisa unaweza kuwa kama a stray dog!.... in bold hhahha nimecheka mpaka basi ...nukuaminia Dear...hakuna masikhara kwenye maisha bana...utakuta umepata tabu kufanya maisha na huyo baba halafu anakuja mtu atoke alipo aje kukuharibia.....
Kama mumeo ndo anacheza na yeye hapo inakuaje?
Nilimfeel sana lakini niliye naye sasa namfeel zaidi. Hizo tuition za infidelity nimehudhuria nyingi tu lakini naona mara nyingi mwisho wake sio mwema. Ninayo mifano hai. Ukishapoteza imani ndani ya familia inachukua muda mrefu sana kuirudisha, na sina uhakika kama inarudi 100% Wenye uzoefu watueleze.