TANZIA Aliyewahi kuwa mchezaji wa klabu ya Simba, Yahaya Akilimali afariki dunia

Ndio alichezea Simba mwaka gani na kikosi gani.
 
Aliyekuwa winga teleza wa klabu ya Simba, Yahya Akilimali, amekutwa na umauti usiku wa kuamkia leo Jumamosi ya Oktoba 30, 2021 katika Hospital ya Maweni, Kigoma.

Mazishi yatafanyika leo nyumbani kwao Ujiji Kigoma.

Naona jezi yake kama ina nembo ya NBC
 
RIP Yahya Akilimali

Toka maktaba :
Azam Sports AM walipomhoji mchezaji wa zamani Yahya Akilimali


JINA: AKILIMALI YAHYA AKILIMALI KUZALIWA: DESEMBA 5, 1986 NAFASI: WINGA TIMU ALIZOCHEZEA:
  • 2003-2008: SIMBA SC
  • 2009-2010: MTIBWA SUGAR
  • 2011-2012: JKT RUVU STARS
  • 2012: COASTAL UNION
  • TAIFA STARS: 2004-2005
 
innalillahi wa inna ilayhi raaji'uun....dah kiungo fundi
 
Aliyekuwa winga teleza wa klabu ya Simba, Yahya Akilimali, amekutwa na umauti usiku wa kuamkia leo Jumamosi ya Oktoba 30, 2021 katika Hospital ya Maweni, Kigoma.

Mazishi yatafanyika leo nyumbani kwao Ujiji Kigoma.

Mazishi ni kesho saa 10 Alasiri
 

Namkumbuka sana Akilimali, kipaji kilichovumbuliwa na Kanali mstaafu Idd Omar Kipingu pale Makongo Sec akiwemo na akina Juma Kaseja

Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…