mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Watu wanakufa kwa wingi mloganzila wanazika kila siku watu kubao sijui ni kwa nini CCM wameamua kuficha taarifa hizi?
Ukishasikia mloganzila basi jua ni matatizo ya kupumua!Chanzo cha kifo?
Kwani ulikufa hukuandikwa?Aise Mungu hayuko sawa kwa watu wote. Wakifa wao wanatangazwa, tukifa sisi hamuandiki. Nashauri vijana wote mufight kufikia sababu zinazowafanya waandikwe. RIP Shaban
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana mkuu, labda tumia lugha nyingine, Dunia haiwezi kuokoa mwenye kuokoa ni Mungu, Ispokuwa Dunia itatoa misaada na misaada hiyo si ya kuzuia Mapenzi ya MunguFarao alifanya moyo mgumu nchi ikapigwa mapigo mengi mpaka pale wazaliwa Wa kwanza walivyokufa ndiyo akawazuhusu wana Wa Israel kwa ugonjwa huu utawapiga sana yamkini hata wapendwa wazaliwa Wa kwanza naiomba serikali ichukuwe akuba ya vita na kutoa taarifa sahihi ili dunia iweze kulijua tatizo na kutuokoa na hili janga kuliko kuficha ficha kwa hali hii hakuna uchumi tunaokoa
Kama Popobawa sioKorona haitaki shobo ....
ukiiponda inakuibukia..
Siyo Mungu anayetangaza!Aise Mungu hayuko sawa kwa watu wote. Wakifa wao wanatangazwa, tukifa sisi hamuandiki. Nashauri vijana wote mufight kufikia sababu zinazowafanya waandikwe. RIP Shaban
Sent using Jamii Forums mobile app