TANZIA Aliyewahi kuwa Waziri na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, Omary Nundu amefariki dunia

Pumzika kwa Amani. Ameisaidia sana Shirika la Posta hasa alipokuwa Mwenyekkiti.
 
RIP comrade
 
Rest in peace Mh Nundu.

Daby unakumbuka kile kipindi cha kampeni pale shulen..... Yule mgombea wa udiwan kwenye ile kata pamoja na marehem walituletea mihogo shule?? Na ahadi kedekede....
 
Pumzika Mzee Omary Mungu akurehemu
 
Inshallah wainailahin rajoon
Mungu amdhifadhi mahala pema AMEEN
 
RIP
 
Ingawa ni mhandisi na mwana sayansi aliyebobea,
Ungetoa taarifa za kifo tu hapa ingetosha sana kwa wakati huu.

Haya mengine yoote ya ubobezi na usomi wake tukiyachambua hapa tutakuwa tunaharibu na kumkosea heshima marehemu.
Kwani wasifu kama ulivyowekwa hapa hauna kichwa wala miguu.

Inawezekana, na inaelekea marehemu alikuwa mtendaji mzuri kwenye maeneo aliyoyasimamia. Lakini ukitaka kweli tuchambue "Ubobezi" kwenye sayansi na uhandisi...utataka kumkosea heshima marehemu.

Tuachane na haya mambo ya "ubobezi" pembeni.
 
Ndugu siasa zisitufikishe hapo ulipofika. Utu ni kitu muhimu sana,mengine ni ya kupita tu.
Umeyawaza vizuri haya uliyoandika hapa?
"utu ni kitu mhimu sana---" Ndugai ana "utu" ?

Unaposema "siasa zisitufikishe hapa", kweli una maana ya kusema anayofanya Ndugai ni 'siasa'?

Pengine maana ya maneno 'siasa' na 'utu' inakupa shida kuzitambua.
 
Nilijua hatakuwa na furaha na all in all lazima msongo ungemtesa maana alirudishwa kupewa ubunge na uwaziri ili atumie taaluma yake kuleta maendeleo nchini, tatizo sisi tunapenda siasa kuliko maendeleo ya aina yoyote iwe kiuchumi kijamii kimichezo mpaka kielimu. Kiteknolojia ndo usiseme kabisa ukivumbua kitu ni hatari kwako kuliko kawaida ya kwamba utakuwa umetoka kimaisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…