TANZIA Aliyewahi kuwa Waziri na Mwenyekiti wa Bodi ya TTCL, Omary Nundu amefariki dunia

Poleni Familia,Ndugu na jamaa, pole ya kupoteza
 
Innalillahi Wainna illaihi Raj Un. May Allah grant you Jannatul Firdaus. Sote twaelekea hukohuko.
 
Mungu amlaze panapostahili.
 
Sept 12, 2019
Tanga, Tanzania

Kutoka Mwakidila mjini Tanga, simazi za tawala kufuatia msiba wa Dr. Nundu. Kila mtu ameshtushwa ni pigo kubwa.

Source : Peacemaker TV
 
Mchango wa kijamii wa Marehemu Omary Nundu kwa wana Tanga

Source : peacemakers tv
 
Kweli mawazo ya kuwa TTCL ni mali ya Serikali na toka 2017 ameshindwa kuprove hivyo yanaweza kuwa yalimletea sonona (depression). RIP Nundu
Kwani hivi sasa TTCL mali ya nani???????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…