Kuna jamii ya reptiles na baadhi ya samaki wakiwemo kambale, wakati wa ukame wanageuka breathpetarian, living kwa kuvuta tuu hewa na miili yao inasimamisha all metabolism to up to 36 months, mvua zikirudi ndio wanakuja tena kuendelea na maisha ya kawaida, hii inaitwa adaptations
Mamba anaishi up to miaka 3 bila chakula.hebu nitajie mnyama mmoja ambae mvua zikikata anasimamisha metabolism miaka mitatu!
Kuna upungufu mkubwa sana wa waandishi wa habari na media nguli Tanzania kwa sasa. Yawezekana tuko katika kipindi cha mpito kuna mbegu zimepandwa zitachipua. Ila ni vizuri mkazilea vizuri nyinyi mlio katika kipindi cha mpitoNaamini wapo ila tatizo ni waandishi wenye maswali ya sampuli ile na Media za kurusha vipindi vya kivile!. Media za siku hizi ni mwendo wa kusifu, sifa na mapambio.
P
duh rip mm ?Mtu wa Pwani,
R.I.P
Karibu JF.Poleni