Mister mimi
Member
- Apr 29, 2018
- 89
- 106
ila aliyesema kuna kikao baina ya makolo na waamuzi amefanya udhalilishaji mkubwa usioonyeka wala kuvumilika wala kuchukuliwa kama utani!
By the way,nimefurahi kuona Ahmed ally yuko huru maana mpira ni mchezo,na michezo ni ushindani tu wa kuitafuta Furaha na sio UADUI!
ukweli ni kwamba kijana hajatendewa haki! Hata kama amekosea adhabu haijaendana na kosa kabisa!
By the way,nimefurahi kuona Ahmed ally yuko huru maana mpira ni mchezo,na michezo ni ushindani tu wa kuitafuta Furaha na sio UADUI!
ukweli ni kwamba kijana hajatendewa haki! Hata kama amekosea adhabu haijaendana na kosa kabisa!