Hivi jamani, sisi wabongo watu wa ajabu sana? hivi ni kwa kuwa hatuelewi majukumu yetu?hivi ni kwa sababu sisi ni wavivu, hivi sisi hatujui kwa nini tumeshika ofisi zetu.hatujui wajibu wetu? Hivi ni mpaka mtu apigwe mkwara wa kufukuzwa kazi, aumbuliwe mbele ya ma-subordinates wake ndipo afanye kazi, atimize wajibu wake kwa kufanya kazi zake za msingi?Kama kazi zake za msingi hawezi,huyu kiongozi unategemea atakuwa proactive kucreate new development na kuwa creative?
Nimeona kwenye magroup ya mitandaoni Bosi wa wizara ya maji akimpiga operation manager wa Dar es Salaam Water and Sanitation Authority (DAWASA) mkwara mzito balaa na kumvua nguo jamaa. Kesi ni kwamba Bosi wa Dawasa anaandika reporti nzuri sana,report safi ya kila mwezi kuhusu operation za idara na upatikanaji wa maji.
Jamaa anareport kima cha maji Ruvu kiko sawa, jamaa anasema flow ya maji kwa Dar ni superb, matanki yote makubwa manane ya kuhifadhi maji Dar ni safi kabisaa, yaani yamejaa vizuri ,yote yamefurika na yanatiririsha maji murua kabisa bila shida yeyote.
Kwa kweli sisi wa Dar es salaam, kinondoni, ilala, sinza kote huko na maeneo ya ubungo na kwingine labda tuwaambie ukweli tulishaanza kusahau maji ya 24 hours ,maji ni mgao wa kila siku interval ya siku 2-4 na mara nyingine wiki na hata hayo yanayopatikana kidogo ya mgao yanatiririka kama matone ya damu,tulishasahau kuogea maji ya bombani kwenye nyumba zetu , ni mwendo wa ndoo za kukinga na kununua kutoka kwenye visima.
Sasa bosi wa wizara kashtukia mchezo, report za mwezi excellent 100% lakini output ya upatikanaji wa maji ni only 10% to 20% kachukua report hizo na ujazo,kawaita viongozi Dawasa, kaenda Ruvu, kaenda kwenye matanki makubwa ya kuhifadhia maji Dar, alichokikuta ni ilikuwa surprise kubwa,very contrary na report alizonazo, halafu kibaya Bosi wa Dawasco huyo kaingia mitini wakati wa visit;shame upon his face. Jamaa hana majibu. Kapigwa mkwara na kupewa ultmultum la sivyo ajitathmini kama anafit kwa nafasi hiyo.
Kilichonishtua sasa ni jana,siku ya pili baada ya mkwara, maji yakaanza kutiririka at least yasiyo ya matone, usiku wa leo nasikia mabomba ndani yanatema; mabafuni na vyooni . Kwa kweli kila mtu akashtuka na kushangaa ni kama tumeona kakakuona, ni hadimu sana,mara ya mwisho kuona one of the wonders za dunia kama hizi ni wakati wa mwendazake ndipo tulipata maji hivi.
Swali la kujiuliza mimi na wewe ni, hii inakuwaje? mpaka viongozi wa taasisi nyeti wapigwe mkwara wa kuua mtu ndipo watekeleze wajibu wao,basi kama ndio hivyo viongozi wakuu wizarani na mikoani twende na mwendo huohuo mikoa yote na taasisi zote. Inaonekana kero zetu ni za kusababisha, ni kutokana na uzembe wa mabosi na watumishi wa taasisi husika. Napenda kuwakilisha
Pia soma:
√ - News Alert: - Waziri Aweso amtimua kazi Meneja wa RUWASA wilaya ya Misungwi Marwa Kisibo, kutokana na kushindwa kusimamia miradi ya maji ipasavyo
Nimeona kwenye magroup ya mitandaoni Bosi wa wizara ya maji akimpiga operation manager wa Dar es Salaam Water and Sanitation Authority (DAWASA) mkwara mzito balaa na kumvua nguo jamaa. Kesi ni kwamba Bosi wa Dawasa anaandika reporti nzuri sana,report safi ya kila mwezi kuhusu operation za idara na upatikanaji wa maji.
Jamaa anareport kima cha maji Ruvu kiko sawa, jamaa anasema flow ya maji kwa Dar ni superb, matanki yote makubwa manane ya kuhifadhi maji Dar ni safi kabisaa, yaani yamejaa vizuri ,yote yamefurika na yanatiririsha maji murua kabisa bila shida yeyote.
Kwa kweli sisi wa Dar es salaam, kinondoni, ilala, sinza kote huko na maeneo ya ubungo na kwingine labda tuwaambie ukweli tulishaanza kusahau maji ya 24 hours ,maji ni mgao wa kila siku interval ya siku 2-4 na mara nyingine wiki na hata hayo yanayopatikana kidogo ya mgao yanatiririka kama matone ya damu,tulishasahau kuogea maji ya bombani kwenye nyumba zetu , ni mwendo wa ndoo za kukinga na kununua kutoka kwenye visima.
Sasa bosi wa wizara kashtukia mchezo, report za mwezi excellent 100% lakini output ya upatikanaji wa maji ni only 10% to 20% kachukua report hizo na ujazo,kawaita viongozi Dawasa, kaenda Ruvu, kaenda kwenye matanki makubwa ya kuhifadhia maji Dar, alichokikuta ni ilikuwa surprise kubwa,very contrary na report alizonazo, halafu kibaya Bosi wa Dawasco huyo kaingia mitini wakati wa visit;shame upon his face. Jamaa hana majibu. Kapigwa mkwara na kupewa ultmultum la sivyo ajitathmini kama anafit kwa nafasi hiyo.
Kilichonishtua sasa ni jana,siku ya pili baada ya mkwara, maji yakaanza kutiririka at least yasiyo ya matone, usiku wa leo nasikia mabomba ndani yanatema; mabafuni na vyooni . Kwa kweli kila mtu akashtuka na kushangaa ni kama tumeona kakakuona, ni hadimu sana,mara ya mwisho kuona one of the wonders za dunia kama hizi ni wakati wa mwendazake ndipo tulipata maji hivi.
Swali la kujiuliza mimi na wewe ni, hii inakuwaje? mpaka viongozi wa taasisi nyeti wapigwe mkwara wa kuua mtu ndipo watekeleze wajibu wao,basi kama ndio hivyo viongozi wakuu wizarani na mikoani twende na mwendo huohuo mikoa yote na taasisi zote. Inaonekana kero zetu ni za kusababisha, ni kutokana na uzembe wa mabosi na watumishi wa taasisi husika. Napenda kuwakilisha
Pia soma:
√ - News Alert: - Waziri Aweso amtimua kazi Meneja wa RUWASA wilaya ya Misungwi Marwa Kisibo, kutokana na kushindwa kusimamia miradi ya maji ipasavyo