Aliyosema mwl. Jk Nyerere yasipuuzwe

Aliyosema mwl. Jk Nyerere yasipuuzwe

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
586
Mwalimu alisema yafuatayo, tukatae rushwa,umaskini,udini na ukabila.

Namuomba Rais Jakaya Kikwete atueleze udini katika uchaguzi wa 2010 ulikuwaje?

Kwani mwaka 2005 aliposhinda kwa zaidi ya 80% maaskofu na wachungaji walikuwa hawajui dini yake?

Nasema kuwa Kikwete pamoja na Zitto kabwe pamoja na baadhi ya wabunge cuf ndio wakwanza kuwagawa wananchi wa nchi hii kidini na kupelekea mauaji na mabomu yanayoendelea hadi sasa.

Kama kuna wa kwanza kulalamikia udini walitakiwa wawe wakristo wa zanzibar ambao tangu kupata uhuru wa nchi hiyo hawajapata rais,makamu wala katibu mkuu kiongozi au waziri katika serikali ya zanzibar.ikumbukwe kuwa wakristo wachache wa zanzibar ndio wa kwanza kupokea dini hiyo kuliko hata wengi wa tanganyika.

Tunataka kikwete atuambie udini aliokuwa akiutaja kwenye kampeni 2010 ni upi na alikuwa na maana gani.

NB: Naomba moderator usifute uzi huu na ukifuta futa na account yangu kabisa. hata tunatetea roho za watu zinazoteswa na wanasiasa.
 
viongozi wa namna hii tutaendelea tu kuwa maskini
 
Mkuu umeongea ukweli kabisa. Mwaka 2005 wakristu wamejipanga kupiga kura juani bila kujali wanaemchagua ni nani lakini baada ya hapo waliemchagua anawageuka kwa kufanya harakati za kidini. Kuna evidence za video jinsi mashekhe walivyoagizwa kuzunguka misikititi kufanya kampeini mwaka 2010 nchi nzima, kuna ushahidi UDOM.

Kutokana na hilo Wakristu wamepoteza viongozi wao wa kiimani na kuchomewa nyumba zao za ibada, imani yao imekashfiwa kwa mihadhara hadharani kana kwamba nchi haina uongozi. Lakini sasa wakristu wamejifunza.
 
Mkuu umeongea ukweli kabisa. Mwaka 2005 wakristu wamejipanga kupiga kura juani bila kujali wanaemchagua ni nani lakini baada ya hapo waliemchagua anawageuka kwa kufanya harakati za kidini. Kuna evidence za video jinsi mashekhe walivyoagizwa kuzunguka misikititi kufanya kampeini mwaka 2010 nchi nzima, kuna ushahidi UDOM.

Kutokana na hilo Wakristu wamepoteza viongozi wao wa kiimani na kuchomewa nyumba zao za ibada, imani yao imekashfiwa kwa mihadhara hadharani kana kwamba nchi haina uongozi. Lakini sasa wakristu wamejifunza.

Kikwete inabidi aseme hiyo roho ya kishetani kaitoa wapi?
 
Mkuu, umeongea sana lakini kwa Zanzibar fanya tafiti tena kwa nafasi ya uwaziri kwani marehemu Isack Sepetu na Mwakanjuki walikuwa mawaziri.
 
nashangaa mpaka muda huu mods hamjaufuta huu uzi. haya mambo ya dini zetu yatatupeleka pabaya.
kuna watu wamemshupalia kikwete tu lakini wamesahau kuwa ilani ya ccm 2005 chini ya mwenyekiti benjamin walipitisha mahakama ya kadhi na oic. kikwete kama mtu aliyeingia madarakani kwa ilani hiyo ndo mhanga wa haya yote.
siamini kama watanzania ni mataahira kiasi hiki.
MAMODS, TAFADHALI UONDOENI HUU UZI.
 
nashangaa mpaka muda huu mods hamjaufuta huu uzi. haya mambo ya dini zetu yatatupeleka pabaya.
kuna watu wamemshupalia kikwete tu lakini wamesahau kuwa ilani ya ccm 2005 chini ya mwenyekiti benjamin walipitisha mahakama ya kadhi na oic. kikwete kama mtu aliyeingia madarakani kwa ilani hiyo ndo mhanga wa haya yote.
siamini kama watanzania ni mataahira kiasi hiki.
MAMODS, TAFADHALI UONDOENI HUU UZI.
ilani ya chama huandaliwa kipindi cha uchaguzi,kikwete ni mdini sana huyu mtu sio kwa sababu ya mahakama ya kadhi au oic .huyu mtu kawagawa watz waliokuwa wakiishi kwa umoja.
 
ilani ya chama huandaliwa kipindi cha uchaguzi,kikwete ni mdini sana huyu mtu sio kwa sababu ya mahakama ya kadhi au oic .huyu mtu kawagawa watz waliokuwa wakiishi kwa umoja.
yaelekea tunatofautiana katika uelewa wetu. ilani haiandaliwi na mtu bali na chama. na kipindi hicho alikuwa ben mkapa akiwa kama mwenyekiti wa chama lakini pia rais wa nchi.
hebu nieleze huo udini wa kikwete acha porojo.
nakumbuka mey 26 2010-gazeti la mwananchi (27/5/10) mchungaji mtikila alishawahi kusema pale ikulu hatakiwi muislam, wakati huo akihutubia jukwaa la maaskofu.
Sishangai hata sasa hivi pamoja na kikwete kufanya mengi kuliko rais yoyote aliyemtangulia akifuatiwa na mkapa kwambali lakini watu wameendelea na propaganda kuwa kikwete hajafanya chochote. mfano, kikwete ameweza kujenga umbali wa barabara km 12000 akifuatiwa na mkapa 5000 na mwinyi+nyerere about 3000.
kuna mawili, either unafanya makusudi kupotosha au hujui.
siipendi ccm, lakini kwangu uongo mwiko, ukweli daima
NARUDIA, MAMODS ONDOWENI HUU UZI, UNATUGAWANYA BURE.
 
matahaira kama Abunuas hawaishag..
yani hujui kua taifa linadaiwa deni kubwa saaaaana kwasababu ya jk kukopa ili ajenge hzo barabara na je unadhani hlo deni litalipwaje.?

mbumbumbu kweli wewe..
 
Last edited by a moderator:
inawezekana mimi ni taahira, lakini hebu ingia kwenye link hii hapa chiniili ujipime kama mimi ni taahira zaidi yako.
Bonga - Babati Road Project — Ministry of Works
Dodoma - Mayamaya Road Project — Ministry of Works
kila la heri

hii nch vlaza weng sana,kujenga barabara na udn vnaingilianaje? jmk n mdin sana na chama chake ndio wapandao mbegu mbaya ya udn ktk hii nch,we must change vngnevyo tutauana muda c mrefu.TANZANIA IS SECULAR COUNTRY!!
 
Hizi Posts za udini hizi...

Mkuu siyo Udini..Ni afadhali tujadili kuepusha huo udini..Hili jambo liko wazi lakini kama tutalifumbia macho..Madhara yake ni mabaya zaidi..

Siasa zina changanywa na Dini

Elimu inachanganywa na Dini

Huduma za kijamii..nk

Lazima tujadili..Naomba Mods wasiondoe huu Uzi..GT tujadili..
 
Mwalimu alisema yafuatayo, tukatae rushwa,umaskini,udini na ukabila.

Namuomba Rais Jakaya Kikwete atueleze udini katika uchaguzi wa 2010 ulikuwaje?

Kwani mwaka 2005 aliposhinda kwa zaidi ya 80% maaskofu na wachungaji walikuwa hawajui dini yake?

Nasema kuwa Kikwete pamoja na Zitto kabwe pamoja na baadhi ya wabunge cuf ndio wakwanza kuwagawa wananchi wa nchi hii kidini na kupelekea mauaji na mabomu yanayoendelea hadi sasa.

Kama kuna wa kwanza kulalamikia udini walitakiwa wawe wakristo wa zanzibar ambao tangu kupata uhuru wa nchi hiyo hawajapata rais,makamu wala katibu mkuu kiongozi au waziri katika serikali ya zanzibar.ikumbukwe kuwa wakristo wachache wa zanzibar ndio wa kwanza kupokea dini hiyo kuliko hata wengi wa tanganyika.

Tunataka kikwete atuambie udini aliokuwa akiutaja kwenye kampeni 2010 ni upi na alikuwa na maana gani.

NB: Naomba moderator usifute uzi huu na ukifuta futa na account yangu kabisa. hata tunatetea roho za watu zinazoteswa na wanasiasa.

Rushwa ukabila umasikini na udini yote kwa pamoja yamepuuzwa na alisema nyerere je uoni ili ni tatizo la watanzania wote
 
hii nch vlaza weng sana,kujenga barabara na udn vnaingilianaje? jmk n mdin sana na chama chake ndio wapandao mbegu mbaya ya udn ktk hii nch,we must change vngnevyo tutauana muda c mrefu.TANZANIA IS SECULAR COUNTRY!!
naona tunabishana kwa kitu ambacho kikowazi. nimekuuliza, ilani ya ccm ya 2005 inasema itawapa waislam mahakama ya kadhi na kujiunga na OIC, Je kipindi hicho KIkwete ndo alikuwa mtu wa mwisho kuamua?
mbona unakichwa kigumu hivi.
chama huwa kinaandaa ilani yake halafu anayepitishwa ndo hupewa kazi ya kuinadi. kwa kipindi hicho muamuzi wa mwisho alikuwa mkapa kama mwenyekiti wa chama lakini pia kama rais wa nchi. sasa huelewi nini hapo?
kwa taarifa yako hata huyo aliyeandika ilani ya chadema ni dr. kitila na wenzake pamoja na kuwa akina slaa wamemfukuza. na wala sio slaa aliyeiandaa hiyo ilani aliyokuwa akiiuza wakati wa kampeni 2010.
naona unatishia watu kuuana. kwanini sisi tutakuwa wa kwanza? sehemu nyingi tu wanauana mbona. na kwa akili kama hizo za kwako sishangai watuwakauana.
acha chuki zisizokuwa na msingi, tuungane pamoja kuijenga nchi yetu. barabara alizokuwa akijenga Kikwete mpaka huko rombo hawazipiti waislam tu. hata wapagani wanapina achilia mbali wakristo.
eti mwalimu! hata hao wanafunzi unaofundisha hapo moro au sijui wapi yaelekea wanakazi maana kama uelewa wako ndo huo.
 
Mkuu, umeongea sana lakini kwa Zanzibar fanya tafiti tena kwa nafasi ya uwaziri kwani marehemu Isack Sepetu na Mwakanjuki walikuwa mawaziri.

wanakuwa wakali sana hawa wakiona kiongozi muislam anafuata dini yake hata kama kidogo. Wanasema tu mambo bila ya ushahidi wowote. Wajiangalie waweza kuwa ndio chanzo cha moto ao wenyewe.
 
Mwalimu alisema yafuatayo, tukatae rushwa,umaskini,udini na ukabila.

Namuomba Rais Jakaya Kikwete atueleze udini katika uchaguzi wa 2010 ulikuwaje?
R
Kwani mwaka 2005 aliposhinda kwa zaidi ya 80% maaskofu na wachungaji walikuwa hawajui dini yake?

Nasema kuwa Kikwete pamoja na Zitto kabwe pamoja na baadhi ya wabunge cuf ndio wakwanza kuwagawa wananchi wa nchi hii kidini na kupelekea mauaji na mabomu yanayoendelea hadi sasa.

Kama kuna wa kwanza kulalamikia udini walitakiwa wawe wakristo wa zanzibar ambao tangu kupata uhuru wa nchi hiyo hawajapata rais,makamu wala katibu mkuu kiongozi au waziri katika serikali ya zanzibar.ikumbukwe kuwa wakristo wachache wa zanzibar ndio wa kwanza kupokea dini hiyo kuliko hata wengi wa tanganyika.

Tunataka kikwete atuambie udini aliokuwa akiutaja kwenye kampeni 2010 ni upi na alikuwa na maana gani.

NB: Naomba moderator usifute uzi huu na ukifuta futa na account yangu kabisa. hata tunatetea roho za watu zinazoteswa na wanasiasa.
Unataka moderator auache utumbo wako huu. Shwaaain.
 
Back
Top Bottom