Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kwamba alikuwa smart kichwani 😁😁😁daah itoshe kusema membe alikuwa na Mende kichwani, jamaa alikuwa chenga Sana ,Nyuzi zinaanzishwa za kumsingizia Membe mambo ya uongo kabisa. Yaani mtu anasema Membe alikuwa na ushawishi? Why mumsingizie marehemu uongo?
Kama ana mabaya yake naye ni binadamu hakuna mkamilifu ila si vizuri kumsingizia uongo. Mwingine anasingizia Membe alikuwa smart kichwani... Unamtizama unasema huyu haoni kama anapata dhambi kumkebehi marehemu?
M... Akina nani?Mbona JPM mnasumbua?
1984 alikuq afisa usalama wa ikulu wewe ulikua wait..?Nyuzi zinaanzishwa za kumsingizia Membe mambo ya uongo kabisa. Yaani mtu anasema Membe alikuwa na ushawishi? Why mumsingizie marehemu uongo?
Kama ana mabaya yake naye ni binadamu hakuna mkamilifu ila si vizuri kumsingizia uongo. Mwingine anasingizia Membe alikuwa smart kichwani... Unamtizama unasema huyu haoni kama anapata dhambi kumkebehi marehemu?
Hakukuwa na watu nyakati hizo.1984 alikuq afisa usalama wa ikulu wewe ulikua wait..?
kazikwe nayeNyuzi zinaanzishwa za kumsingizia Membe mambo ya uongo kabisa. Yaani mtu anasema Membe alikuwa na ushawishi? Why mumsingizie marehemu uongo?
Kama ana mabaya yake naye ni binadamu hakuna mkamilifu ila si vizuri kumsingizia uongo. Mwingine anasingizia Membe alikuwa smart kichwani... Unamtizama unasema huyu haoni kama anapata dhambi kumkebehi marehemu?
kazikwe nayeTunahitaji kuwa na fikra chanya kwa Mustakabali mwema wa taifa.
Mtu aliyekufa ataumizwa vipi?
Wanaoumizwa ni watu waliokuwa naye, wakimtegemea akiwa hai.
Wafu hawana uwezo wa kufanya chochote tena, wala hawahisi maumivu. Ilitajiwa uandike msiwaumize watu wake waliobaki hai.
Zitto kadai alokiwa mtu na nusuNyuzi zinaanzishwa za kumsingizia Membe mambo ya uongo kabisa. Yaani mtu anasema Membe alikuwa na ushawishi? Why mumsingizie marehemu uongo?
Kama ana mabaya yake naye ni binadamu hakuna mkamilifu ila si vizuri kumsingizia uongo. Mwingine anasingizia Membe alikuwa smart kichwani... Unamtizama unasema huyu haoni kama anapata dhambi kumkebehi marehemu?
Pia haukua na connectionHakukuwa na watu nyakati hizo.
Wallah kama chumba chako si kizuri basi kirekebishe uinjoyi maana we peponi huendu ng'ooooNyuzi zinaanzishwa za kumsingizia Membe mambo ya uongo kabisa. Yaani mtu anasema Membe alikuwa na ushawishi? Why mumsingizie marehemu uongo?
Kama ana mabaya yake naye ni binadamu hakuna mkamilifu ila si vizuri kumsingizia uongo. Mwingine anasingizia Membe alikuwa smart kichwani... Unamtizama unasema huyu haoni kama anapata dhambi kumkebehi marehemu?
Tayari tumeshamzika ndugu yetu hayati BCM (Rip)Nyuzi zinaanzishwa za kumsingizia Membe mambo ya uongo kabisa. Yaani mtu anasema Membe alikuwa na ushawishi? Why mumsingizie marehemu uongo?
Kama ana mabaya yake naye ni binadamu hakuna mkamilifu ila si vizuri kumsingizia uongo. Mwingine anasingizia Membe alikuwa smart kichwani... Unamtizama unasema huyu haoni kama anapata dhambi kumkebehi marehemu?
Hawakuwahi kuchukua hatua wakati anatukanwa JPM. Unataka waanze kuchukua hatua kwa huyu dagaa?Kwakweli mimi mwenyewe nashangaa, ifike hatua Moderator chukueni hatua. Hii tabia itaota mizizi nchini. Anapofariki kiongozi yoyote haipendezi kuona watu wanafurahia na kuandika dhihaka kwenye mitandao.
Marehemu wote kwangu wapo sawa, hawana lolote wanaloweza katika ulimwengu huu..
Pili, mimi siyo chawa , hivyo hao ni viumbe tu ambao tulikuwa tunaishi kwenye ulimwengu mmoja ikiwa wewe kwangu ni sawa na wao wakati walipojuwa hai..
Hivyo basi, tujadili tukiwa huru kimwili, kiakili na kiroho. Kwa nini uandike nikazikwe na mfu. Yaelekea akili yako imekufa.
Panua akili, nafasi za kisiasa unakuwa kiongozi pale unapo chaguliwa ukipigwa chini wewe sio kiongozi tena.Kwakweli mimi mwenyewe nashangaa, ifike hatua Moderator chukueni hatua. Hii tabia itaota mizizi nchini. Anapofariki kiongozi yoyote haipendezi kuona watu wanafurahia na kuandika dhihaka kwenye mitandao.
Uzi tayari. Uko smart kichwaniNyuzi zinaanzishwa za kumsingizia Membe mambo ya uongo kabisa. Yaani mtu anasema Membe alikuwa na ushawishi? Why mumsingizie marehemu uongo?
Kama ana mabaya yake naye ni binadamu hakuna mkamilifu ila si vizuri kumsingizia uongo. Mwingine anasingizia Membe alikuwa smart kichwani... Unamtizama unasema huyu haoni kama anapata dhambi kumkebehi marehemu?