Aliyoyatamka Rais Trump mbele ya Rais Zelensky yametimiza Unabii

Aliyoyatamka Rais Trump mbele ya Rais Zelensky yametimiza Unabii

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Heshima zenu wakuu. Hongereni kwa kazi. Na mnaopumzika, hongereni kwa mapumziko.
Haya, twende kwenye mada.

Mambo mengi yanayotokea nyakati hizi duniani, yalitabiriwa na manabii wa Mungu miaka mingi iliyopita, na kuandikwa katika Biblia. Yesu Kristo pia alipokuwa duniani, alinena mambo yatakayotokea duniani na akasema kwamba tutakapoyaona au kuyasikia basi tujue kuwa hiyo ni ishara au dalili ya kurudi kwake, na ya mwisho wa dunia. Jambo mojawapo alilolitaja limeandikwa katika Mt 24:6. “Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita.”

Rais Trump (katika kikao kizito na Rais Zelensky) ameonekana na kusikika kote duniani akimwambia Rais Zelensky kuwa anacheza na Vita Kuu ya III(gambling with World War Three). Tetesi ya Vita Kuu ya Tatu hiyo imetamkwa na Rais anayeongoza Taifa lenye silaha na teknolojia za kisasa, zinazoweza kusababisha Vita Kuu ya Tatu.

Ndugu zangu, dalili za kuja kwa Yesu hizo zinaendelea kutimia. Hivyo tuendelee kujiweka tayari kumlaki Yesu Kristo kwa kuishi maisha matakatifu. Tusisahau Yesu atakuja ghafla, katika siku na saa wasiyoitarajia wengi(Mathayo 24:44).

Asiyejali maneno haya aendelee kutenda mabaya, “atakiona cha mtema kuni.” Aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, “atakiona kilichomnyoa khanga manyoya.” Atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu maana atapata thawabu. Ufunuo 22:10-12.

Hold fast to wisdom, for the days foretold are unfolding before our eyes.
 
Heshima zenu wakuu. Hongereni kwa kazi. Na mnaopumzika, hongereni kwa mapumziko.
Haya, twende kwenye mada.

Mambo mengi yanayotokea nyakati hizi duniani, yalitabiriwa na manabii wa Mungu miaka mingi iliyopita, na kuandikwa katika Biblia. Yesu Kristo pia alipokuwa duniani, alinena mambo yatakayotokea duniani na akasema kwamba tutakapoyaona au kuyasikia basi tujue kuwa hiyo ni ishara au dalili ya kurudi kwake, na ya mwisho wa dunia. Jambo mojawapo alilolitaja limeandikwa katika Mt 24:6. “Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita.”

Rais Trump (katika kikao kizito na Rais Zelensky) ameonekana na kusikika kote duniani akimwambia Rais Zelensky kuwa anacheza na Vita Kuu ya III(gambling with World War Three). Tetesi ya Vita Kuu ya Tatu hiyo imetamkwa na Rais anayeongoza Taifa lenye silaha na teknolojia za kisasa, zinazoweza kusababisha Vita Kuu ya Tatu.

Ndugu zangu, dalili za kuja kwa Yesu hizo zinaendelea kutimia. Hivyo tuendelee kujiweka tayari kumlaki Yesu Kristo kwa kuishi maisha matakatifu. Tusisahau Yesu atakuja ghafla, katika siku na saa wasiyoitarajia wengi(Mathayo 24:44).

Asiyejali maneno haya aendelee kutenda mabaya, “atakiona cha mtema kuni.” Aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, “atakiona kilichomnyoa khanga manyoya.” Atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu maana atapata thawabu. Ufunuo 22:10-12.

Hold fast to wisdom, for the days foretold are unfolding before our eyes.
Wewe umeolewa lakini kama Bado karibu tuzungumze lakini hakikisha picha Yako ni hiyo hiyo
 
Amina mama mchungaji
Tunatuma Kwa namba ipo sadaka ya kujimaliza
Ukitoa sadaka inatakiwa ubarikiwe sio ujimalize. By the way, hiyo sadaka ya kujimaliza imeandikwa wapi? Sijaiona kwenye Biblia. Au wajinga ndio waliwao?
 
Umeongea vitu havirelate, unabii unabii.
 
Heshima zenu wakuu. Hongereni kwa kazi. Na mnaopumzika, hongereni kwa mapumziko.
Haya, twende kwenye mada.

Mambo mengi yanayotokea nyakati hizi duniani, yalitabiriwa na manabii wa Mungu miaka mingi iliyopita, na kuandikwa katika Biblia. Yesu Kristo pia alipokuwa duniani, alinena mambo yatakayotokea duniani na akasema kwamba tutakapoyaona au kuyasikia basi tujue kuwa hiyo ni ishara au dalili ya kurudi kwake, na ya mwisho wa dunia. Jambo mojawapo alilolitaja limeandikwa katika Mt 24:6. “Nanyi mtasikia habari za vita na tetesi za vita.”

Rais Trump (katika kikao kizito na Rais Zelensky) ameonekana na kusikika kote duniani akimwambia Rais Zelensky kuwa anacheza na Vita Kuu ya III(gambling with World War Three). Tetesi ya Vita Kuu ya Tatu hiyo imetamkwa na Rais anayeongoza Taifa lenye silaha na teknolojia za kisasa, zinazoweza kusababisha Vita Kuu ya Tatu.

Ndugu zangu, dalili za kuja kwa Yesu hizo zinaendelea kutimia. Hivyo tuendelee kujiweka tayari kumlaki Yesu Kristo kwa kuishi maisha matakatifu. Tusisahau Yesu atakuja ghafla, katika siku na saa wasiyoitarajia wengi(Mathayo 24:44).

Asiyejali maneno haya aendelee kutenda mabaya, “atakiona cha mtema kuni.” Aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, “atakiona kilichomnyoa khanga manyoya.” Atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu maana atapata thawabu. Ufunuo 22:10-12.

Hold fast to wisdom, for the days foretold are unfolding before our eyes.
Bda sana mkuu sku manabii kama kina mamposa akishusha moto kutoka mbingun na kufufua wafu bas jua ndy ile sku imefka ila ss atutaona kizaza hcho bado sana, kwaiyo ww endelea kula maharagwe na bia ufurai maisha yako uliyo bakiza
 
Umeongea vitu havirelate, unabii unabii.
Pole ndugu yangu miviga kwa kushindwa kuona relationship iliyopo kati ya unabii wa Yesu na maneno ya Rais Trump.

"Always remember that it is impossible to speak in such a way that you cannot be misunderstood: there will always be some who misunderstand you - Karl Popper."

Hata Yesu alipokuwa akifundisha, kuna baadhi ya watu hawakumuelewa. Angalia mifano hii:

1. Yesu alizungumza kuhusu chachu ya Mafarisayo (Mathayo 16:5-12)
Yesu alisema:
"Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo." (Mathayo 16:6)
Wanafunzi wake walidhani anazungumzia mkate wa kawaida, lakini baadaye Yesu akawaeleza kuwa alikuwa akizungumza kuhusu mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.

2. Yesu alizungumza kuhusu kifo chake na kufufuka kwake (Marko 9:30-32)
Yesu akawaambia wanafunzi wake:
"Mwana wa Adamu anatiwa mikononi mwa watu, nao watamuua; hata akiisha kuuawa, baada ya siku tatu atafufuka." (Marko 9:31)
Lakini wanafunzi wake hawakuelewa na wakaogopa kumuuliza (Marko 9:32).

3. Yesu alizungumza kuhusu kula mwili wake na kunywa damu yake (Yohana 6:53-60)
Yesu akasema:
"Amin, amin, nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu." (Yohana 6:53)
Wengi wa wafuasi wake waliposikia jambo hili wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani awezaye kuyapokea?” (Yohana 6:60).
 
Bda sana mkuu sku manabii kama kina mamposa akishusha moto kutoka mbingun na kufufua wafu bas jua ndy ile sku imefka ila ss atutaona kizaza hcho bado sana, kwaiyo ww endelea kula maharagwe na bia ufurai maisha yako uliyo bakiza
Wakati wa Nuhu watu walipuuza hivyohivyo mpaka gharika ikaja, "ikawaramba"
 
Pole ndugu yangu miviga kwa kushindwa kuona relationship iliyopo kati ya unabii wa Yesu na maneno ya Rais Trump.

"Always remember that it is impossible to speak in such a way that you cannot be misunderstood: there will always be some who misunderstand you - Karl Popper."

Hata Yesu alipokuwa akifundisha, kuna baadhi ya watu hawakumuelewa. Angalia mifano hii:

1. Yesu alizungumza kuhusu chachu ya Mafarisayo (Mathayo 16:5-12)
Yesu alisema:
"Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na Masadukayo." (Mathayo 16:6)
Wanafunzi wake walidhani anazungumzia mkate wa kawaida, lakini baadaye Yesu akawaeleza kuwa alikuwa akizungumza kuhusu mafundisho ya Mafarisayo na Masadukayo.

2. Yesu alizungumza kuhusu kifo chake na kufufuka kwake (Marko 9:30-32)
Yesu akawaambia wanafunzi wake:
"Mwana wa Adamu anatiwa mikononi mwa watu, nao watamuua; hata akiisha kuuawa, baada ya siku tatu atafufuka." (Marko 9:31)
Lakini wanafunzi wake hawakuelewa na wakaogopa kumuuliza (Marko 9:32).

3. Yesu alizungumza kuhusu kula mwili wake na kunywa damu yake (Yohana 6:53-60)
Yesu akasema:
"Amin, amin, nawaambia, msipoula mwili wa Mwana wa Adamu na kuinywa damu yake, hamna uzima ndani yenu." (Yohana 6:53)
Wengi wa wafuasi wake waliposikia jambo hili wakasema, “Mafundisho haya ni magumu. Ni nani awezaye kuyapokea?” (Yohana 6:60).
Mafarisayo na Masadukayo ni kina nani kwa kipindi cha Yesu na kipindi cha sasa??
 
Back
Top Bottom