bemg
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 2,799
- 643
Jioni ya leo timu ya taifa Twiga stars imefungwa goli moja kwa bila na timu ya Ivory coast katika michezo ya All
Africa Games.Kipindi cha kwanza Twiga stars walicheza kwa kuelewana na kulitia kashikashi lango la timu pinzania
lakini bahati haikuwa yao na refa aliwanyima penati ya wazi.Hadi mapumziko timu zote zilikuwa 0-0.Kipindi cha pili
IvoryCoast walikianza kwa nguvu na dk ya 65 walifunga goli pekee.Pamoja na matokeo hayo twiga stars walimiliki
mpira kuzidi wapinzani wao nakasoro zilizojitokeza na umaliziaji wa mipira ya kross.
Mungu ibariki Twiga stars mechi inayofuata.
Mungu ibariki Tanzania
Africa Games.Kipindi cha kwanza Twiga stars walicheza kwa kuelewana na kulitia kashikashi lango la timu pinzania
lakini bahati haikuwa yao na refa aliwanyima penati ya wazi.Hadi mapumziko timu zote zilikuwa 0-0.Kipindi cha pili
IvoryCoast walikianza kwa nguvu na dk ya 65 walifunga goli pekee.Pamoja na matokeo hayo twiga stars walimiliki
mpira kuzidi wapinzani wao nakasoro zilizojitokeza na umaliziaji wa mipira ya kross.
Mungu ibariki Twiga stars mechi inayofuata.
Mungu ibariki Tanzania