Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Mvua za msimu huwa hazielewekisimba hureee ,Liverpool mwaka huu tiamaji tiamaji ,Dah
Mkuu wewe kama mm hizo ndiyo timu zangu..Mimi binafsi Arsenal chali.
Madrid chali timu yangu kwa Spain chali.
Simba inabeba f.a na vpl kazi iendelee.
Simba nguvu moja.
CityzenNatoa pongezi Kwa timu zangu tatu kwa kuwa mabingwa msimu huu 20/21. Timu hizo ni:
-Man. City------EPL.
-Atletico---------La Liga.
-Simba------------VPL.( UTO hawapindui meza).
SIMBA SPORTS CLUB....UBINGWA UENDELEE.
Wewe ndo pacha wangu sasa.Mkuu wewe kama mm hizo ndiyo timu zangu..
Jana nmefurahi sana mkuu..... Cholo Simeone ameleta furaha tena.Mimi hapo ni simba na atletico madrid tu...
Arsenal ishajifia kifo cha mende.