NdioVyote hivyo vinafanyika bila kutumia internet mkuu ??
sawa asante sana. Hii hautumii internet na nimeitengeneza mwenyeweSawa. Ngoja nikaipakue kushuhudia, maana kuna moja ipo inaitwa I love pdf ndiyo ninayo penda sana kutumia ila kila kitu lazima uwe na internet.
Hongera sana mkuu. Nitaleta mrejesho.sawa asante sana. Hii hautumii internet na nimeitengeneza mwenyewe
AsanteHongera sana mkuu. Nitaleta mrejesho.
Vipi ulijaribu app?Hongera sana mkuu. Nitaleta mrejesho.
Hongera mkuu. Wewe unapata faida gani kwa kigawa bure? Ina matangazo?
Asante. Ina baadhi ya vitu ambavyo ni vya kulipia na matangazoHongera mkuu. Wewe unapata faida gani kwa kigawa bure? Ina matangazo?