all the best MAN 6

all the best MAN 6

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Kwa wale wapenzi wa man united
si haba kuwishiana all the best kabla a massaa machache ya jayo kuingia etihad
natumaini mtajitahdi hata draw basi kupunguza kale ka gepu pale juu
wachaga wanasema
kyiiiiiiikyo mbora wose
 
What a debry!
Samahani mkuu, game itachezwa muda gani kwa saa za kitanzania?
 
Kwa wale wapenzi wa man united
si haba kuwishiana all the best kabla a massaa machache ya jayo kuingia etihad
natumaini mtajitahdi hata draw basi kupunguza kale ka gepu pale juu
wachaga wanasema
kyiiiiiiikyo mbora wose

thanx much baba diddy
 
Man city 2
man u 3

no yahya
no company
no.......
No.....

Sijui ingekuwaje
 
Man city 2
man u 3

no yahya
no company
no.......
No.....

Sijui ingekuwaje

Waliocheza wote wamesajiliwa na Man City tena kwa pesa nyingi. Hata wangekuwepo hao uliowasema sidhani kama wangebadili matokeo. Pamoja na hayo Man City wamecheza vizuri
 
Back
Top Bottom