What a debry!
Samahani mkuu, game itachezwa muda gani kwa saa za kitanzania?
Kwa wale wapenzi wa man united
si haba kuwishiana all the best kabla a massaa machache ya jayo kuingia etihad
natumaini mtajitahdi hata draw basi kupunguza kale ka gepu pale juu
wachaga wanasema
kyiiiiiiikyo mbora wose
Man city 2
man u 3
no yahya
no company
no.......
No.....
Sijui ingekuwaje