WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
- Thread starter
-
- #141
Bwana weh...
Hili ni jukwaa la mahaba....
kila kitu humu mahaba....
maumivu ya mahaba...
akina baba ni wabaya wa mahaba...
akina mama ndio hivyo tena na mahaba...
machungu tele juu ya mahaba...
na wa kulaumu ni akina baba...
basi tena ndio hivyo jibaba...[/QUOTE]
Hili shairi limetulia...ngoja nami nipange vina nitakujibu LOL
huyu ni mtu wa kufikirika ama mtu kweli?
hivi ni vivumishi vya baadhi ya watu.
Kuna wenye kimoja , viwili, vitatu n.k.
Thats VC...On a serious note VC who is that on your avatar!!! Gademu!!!
Thats VC...
Inakuwaje lakini?
Ukiwa nyumbani hata kama unamai waifu wako lazima usarandie housegirl, ukienda kupata kilaji lazima ujivinjari na barmaid, ukiwa ofisini huishi kumtongoza secretary, mhudumu na wenginoe mradi tu zipu ichezeshwe.Ukipita njiani macho mia mia mara ubebe denti mara..... ukiwa na rafikio wa karibu umtongozee mkewe na mabinti zake.Wengine sasa wameanza kuwatongoza dada zao na mabinti zao,marafiki wa mabinti zao, mama mkwe, shemeji wa kike.....
Halafu ukirudi kwa mai waifu mitambo haifanyi kazi!!!
Hupitwiiiiiii???
Lakini dada unajuwa (elewa )kila binadamu ameumbwa au amejaliwa na fantasi zake ?kuwa na mke au mume haimanishi kuwa zile fantasi zako ndio zimekwisha, zitaendelea kuwapo na bila ya kuwa na fantasi maisha kwa binadamu yangekuwa ni magumu sana ,na ndio baadhi yetu hupenda ku espiriansi hizo fantasi na inawezekana mke au muwe hana hizo fantasi unazozihisi lakini kwa mtu wa mbali ndiko ulikoziona hizo fantasi zako.
wenyewe wanasema wajibu wa mwanaume ni kuangalia chochote kinachopita na wajibu wa mwanamke ni kuaongalia watoto nyumbani, lakini kikubwa ni tamaa tu za mwili ila jamani wanaume wenzangu slow down please tutaisha na ngoma
Hahaaaa, mkuu nilikumisi sana... hawa voda wameharibu kweli mawasiliano
Kusema kweli unaposhindwa kwenda home na kufanya kazi za chama inatia aibu; wamama wa sasa sio washamba, wanajua aisee, halafu inafungua milango ya mashetani wa nje wavamie
Ila ombi tu kwa akina mama, bananeni, bar, vilabuni na kujiweka vyema!!! Kuna wamama wako 100% kwenye hili na tunaona kabisa changes za wanaume
Ndoa za siku hizi mradi migogoro mitupu kila upande!
Inakuwaje lakini?
Inakuwaje lakini?
Ukiwa nyumbani hata kama unamai waifu wako lazima usarandie housegirl, ukienda kupata kilaji lazima ujivinjari na barmaid, ukiwa ofisini huishi kumtongoza secretary, mhudumu na wenginoe mradi tu zipu ichezeshwe.Ukipita njiani macho mia mia mara ubebe denti mara..... ukiwa na rafikio wa karibu umtongozee mkewe na mabinti zake.Wengine sasa wameanza kuwatongoza dada zao na mabinti zao,marafiki wa mabinti zao, mama mkwe, shemeji wa kike.....
Halafu ukirudi kwa mai waifu mitambo haifanyi kazi!!!
Hupitwiiiiiii???
we haya we!hakuna anayefanya haya na kuyakamilisha kama atakavyo. dadaangu umezidisha chumvi, tena ile ya mawe!
BN
Kila kitu kiwe kwa kiasi ndugu yangu.Hata kama ni kujikwaa basi angalia usiangukie pabaya ukabaki na majeraha ya kukupa kilema cha maisha.Kujikwaa nako si kuanguka... unajikwaa unastuka na kuwa makini zaidi huku ukiendelea na safari.
daaah! una akili wewe? niPM tafadhali