All Toyota manual / self diagnostic

Mkuu samahan na gar kutembea huku ina vuta upande moja tatizo ni nin
 
Uzi mrefu sana. Ila umeeleweka mno mkuu. God bless you.
 
Uzi mrefu sana. Ila umeeleweka mno mkuu. God bless you.
Sababu ya uhitaji wa jambo lenyewe mkuu.asilimia 100 vijana wanao toka pale veta kwa kusoma 3 yrs hawawezi fanya hii kitu.lkn ww umeweza soma kwa siku moja tena yawezekana hata lisaa limoja hujamaliza na ukiweka nia ya kujifunza kwa vitendo huwezi maliza siku mbili unakuwa master.
 
Mkuu samahan na gar kutembea huku ina vuta upande moja tatizo ni nin
Mkuu ungetoa taarifa yako kw kina zaidi ingekuwa powa sana.
Unaweza ongezea mambo haya hiyo gari ni aina gani? Kwa kubashiri nenda kapime gari whell alinement.inawezekana ulifunga boro joint mpya.

Au nyosha gari yako tairi za mbele harafu simama mbele ya gari angalia kama zimenyoka.

Au chukua kamba izungushe kwenye tairi zote 4 then ifunge harafu angalia utatambua tairi iliyo pinda
 
Au kama.upo dar njoo mwenge nitakupimia bulee.lkn matengenezo au kama itahitajika spea ndio utagalamia

Je sisi wa mikoani unawezaje kutusaidia mkuu? maana unakuta fundi unampelekea gari huku mwenyewe nikijua kabisa tatizo ni check engine au ABS, halafu yeye anajifanya kufungua kila waya baadae anasema tatizo ni cheki engine.....khaaa sasa hapo ndio mafundi nashindwa kuwaelewa!

Sasa je ni lazima tuje mwenge? Kusafiri na gari more than 1000KM kutoka mkoani si bora wewe mkuu uje unitatulie tatizo mkuu au?
 
Nsamehe kwa kutoa taarifa nusu mkuu gar ambayo nina tumia ni mitsubishi L 200 pick up (zile za mkopo wa jeshi) ilikuwa na muda haija tembea majuz kat nikaiweka sawa kufanya matumizi nayo ila sasa kuna muda uki changanya mwendo gar kweny starling unaiskia gar ina vita upande moja ukipunguza mwendo unaiona inakaa sawa kidgo inakuwa ishu kuchanganya sana japo sio kwamba lina tokea mara kwa mara kuna muda ukitembea huski kitu..nyongeza kama ofisin kwakp utakuwa na mguu wa nyuma wa break wa hiii Mitsubishi naomba uniambie nijaribu kujipanga kwa sasa na tumia za mbeleee mguu moja wa nyuma umezibwa
 
Asante mkuuu tair ya mbeleee kulia huwa haikai sawa ukinyoosh starlng inakuwa nzito gharama za kwenda kwenye whell alnment ni kias gan nashukur kwa ushaur mkuu
 
Nazani haizidi eflu 20 kuna sehem wanapina mpaka elfu 10
 
Mkuu Lege kutokana na mada yako nzuri hapo juu, naomba utiririke kitalaam kuhusiana na tatizo la hii gari.....na tatizo lake lina-tatuliwa vipi....kama code ni hizo hapo kwa attachment.

By the way, hongera sana kwa utaalam wako yaonekana upo vizuri sana kwa umeme wa magari mkuu.
 
Kulingana na hizo fault code mbili hapo juu ni kuwa A/F sensor hazifanyi kazi.sensor zote mbeli bank 1 na bank 2.

Mambo yanayoweza sababisha hizo fault.

1.sensor zenyewe kuwa mbovu.
2.loose connection kwenye socket ya af sensor
3.fuse inayopeleka power kwenye AF sensor kuungua,kukata.
4.control box kuwa mbovu.


Lakini hapo solution kubwa au hatua ya kwanza ni kuzipima hizo sensor kama ni mbovu au nzima .

Na je utawezaje kuzipima kama ni nzima au mbovu .hapo kinacho pimwa ni contunity.au kwa lugha nyingine open saketi .
Ukiangalia kwenye boya au socketi ya hiyo sensor kutakuwa na waya zenye rangi hizi.

1.black
2.black
3.blue
4.white.

Hapo waya zinazopimwa hapo ni black na black pima open saketi hapo.

Unaweza kupima kwa njia mbili kwa kutumia mita na kutumia betri,power na bulb tester.

Kama ni mbovu badilisha nyingine.
Hakikisha unaweka A/F sensor na usiweke oxygen sensor kimwonekano zinafanana lkn kiutendaji kazi ni tofauti sana.

Kama zitakuwa nzima basi.jaribu kupima power na erth kwenye soketi ya oxygen sensor.kama zitakuwepo fuatilia wiring kutoka kwenye sensor mpaka kwenye control box.

Hapo nazani nikiufundi zaidi.

Hata kama hizo sensor zimekufa kuna njia zakufanya ili hiyo taa isiwake.

Kwanza kufanyia mapping,na pili kufunga saketi ya emulator.

Ni mambo ya kiufundi zaidi lkn
 
Mkuu Lege asante sana kwa ufafanuzi wako hapo juu na nimekuelewa kwa kiasi kikubwa japo mimi sio fundi ila gari yangu naijua vizuri mnoo.

Okay, mimi nipo mkoani sipo DSM ila siku nikifika Dar nataka nikutafute tuongee. Kikubwa naomba uni-pm namba yako na pia uniambie hapo mwenge garage unayofanyia kazi inaitwaje ili iwe rahisi kukupata nikifika hapo.

Asante sana mkuu.
 
Ok
 
MKUU LEGE,imekaa poa sana for ujuzi huu,big up........ikiwezekana issue za magari makubwa pia scania,iveco,man
 
Magari ya siyo ya Japan uko vinzuri? Kama Amarock, Ford, Benz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…