Allen and Kasie....

Ajuza Kasie katika ubora wako. Anyway usiwaze sanaaa kuhusu kunasa, wacha tu aje uwe na mjukuu mwanao. [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
siku hatari?hamna maduka huko mnunue ndomu??kama vip mpe ila akojolee nje
 
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]

Ndo hivyo.... my Daby is back... tunalisongesha
 
we mwamke natamanigi sana kukuona bs tu visa vyako

Hahahahahahaaa Kasie ni kigagula flani hivi matata lakini mpolee halafu mkimyaa wakati huohuo mcheshi bin muongeaji.... kazi kwako kutasfiri hehehehee.

Sasa wewe i zoom hii avatar ya Kasie kisha itazame kwa umakini na kwa utulivu. On your activities when you met or see an old lady smiling most of the time and resembles kasie's avatar then you must've met Kasie face to face.

Nashukuru kwa kupata tamanio na shauku la kumuona Kasie.. .. iko siku tuu utaonana nae uso kwa uso...
 
Ajuza Kasie katika ubora wako. Anyway usiwaze sanaaa kuhusu kunasa, wacha tu aje uwe na mjukuu mwanao. [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13]

Hahahahahahaaa weewee kumbe hunitakii mema na uzee huu unataka nizae mjukuu mwanangu looh.... kweli umenichoka....

Ubora bin ladha ya Kasie iko vilevile ..... dhamira kuu mapenziii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…