Alli Migeyo, Mtanzania wa kwanza kupigwa bomu

Alli Migeyo, Mtanzania wa kwanza kupigwa bomu

X_INTELLIGENCE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
10,400
Reaction score
14,339
Alli Migeyo maarufu kama "ALLI MATATA" ni Mtanzania wa kwanza kupigwa bomu la machozi. Alipigwa mabomu manne ya machozi Desember 2, 1953.

Alipigwa mabomu hayo na askari wa kikoloni wa kiingereza wakati akiendesha kikao cha TAA (Tanganyika African Association).

Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa na kitabu cha " MWITO WA UHURU" cha mwaka 1961 yanaeleza Desember 6, 1953 chama kiliitisha mkutano wa dharula kwa ajili ya manung'uniko na kupeleka malalamiko kwa utawala wa kikoloni na kutaka iwe mwanzo na mwisho kutumia mabomu ya gesi katika ardhi ya Tanganyika.

ALLI MIGEYO alipewa jina la ALLI MATATA na mzungu aliyeng'atwa kidole na ALLI chanzo chake kikiwa ni kupinga sheria kandamizi za kikoloni.

bom.jpg
 
Alli Migeyo maarufu kama "ALLI MATATA" ni Mtanzania wa kwanza kupigwa bomu la machozi. Alipigwa mabomu manne ya machozi Desember 2, 1953.

Alipigwa mabomu hayo na askari wa kikoloni wa kiingereza wakati akiendesha kikao cha TAA (Tanganyika African Association).

Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa na kitabu cha " MWITO WA UHURU" cha mwaka 1961 yanaeleza Desember 6, 1953 chama kiliitisha mkutano wa dharula kwa ajili ya manung'uniko na kupeleka malalamiko kwa utawala wa kikoloni na kutaka iwe mwanzo na mwisho kutumia mabomu ya gesi katika ardhi ya Tanganyika.

ALLI MIGEYO alipewa jina la ALLI MATATA na mzungu aliyeng'atwa kidole na ALLI chanzo chake kikiwa ni kupinga sheria kandamizi za kikoloni.

bom.jpg

Iwe wamesahaulika kwa Njia yoyote ile Sisi kama Vijana na Taifa kwa ujumla lazima tuenzi ushujaa wao, uzalendo wao walikuwa tayari kwa lolote na walitanguliza maslahi ya Taifa mbele ndo maana wengi wao familia zao zinamaisha ya hali ya chini kabisa tofauti na baadhi ya viongozi wa sasa miaka mitatu mtu ana mali alizostahili kuzipambania hata kwa miaka 20.

Mwisho kabisa nijukumu la Chama kuwakumbuka hawa watu hakika wameshiriki kututoa utumwani.
 
Iwe wamesahaulika kwa Njia yoyote ile Sisi kama Vijana na Taifa kwa ujumla lazima tuenzi ushujaa wao, uzalendo wao walikuwa tayari kwa lolote na walitanguliza maslahi ya Taifa mbele ndo maana wengi wao familia zao zinamaisha ya hali ya chini kabisa tofauti na baadhi ya viongozi wa sasa miaka mitatu mtu ana mali alizostahili kuzipambania hata kwa miaka 20.

Mwisho kabisa nijukumu la Chama kuwakumbuka hawa watu hakika wameshiriki kututoa utumwani.
Mkuu ni wewe ukiopigwa bomu au
 
Alli Migeyo maarufu kama "ALLI MATATA" ni Mtanzania wa kwanza kupigwa bomu la machozi. Alipigwa mabomu manne ya machozi Desember 2, 1953.

Alipigwa mabomu hayo na askari wa kikoloni wa kiingereza wakati akiendesha kikao cha TAA (Tanganyika African Association).

Kwa mujibu wa maelezo yaliyotolewa na kitabu cha " MWITO WA UHURU" cha mwaka 1961 yanaeleza Desember 6, 1953 chama kiliitisha mkutano wa dharula kwa ajili ya manung'uniko na kupeleka malalamiko kwa utawala wa kikoloni na kutaka iwe mwanzo na mwisho kutumia mabomu ya gesi katika ardhi ya Tanganyika.

ALLI MIGEYO alipewa jina la ALLI MATATA na mzungu aliyeng'atwa kidole na ALLI chanzo chake kikiwa ni kupinga sheria kandamizi za kikoloni.

bom.jpg
Kumbe ndo maana Bukoba kuna mtaa unaitwa Migeyo
 
Kumbe ndo maana Bukoba kuna mtaa unaitwa Migeyo
Kasigazi,
Nakuwekea kipande hicho hapo chini kuhusu Ali Migeyo kama nilivyokiandika katika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes:

Katika majimbo ya ziwa katika miaka ya 1950 tawi la TAA lililokuwa na nguvu lilikuwa tawi la Mwanza.

Viongozi wake, Saadan Abdu Kandoro, Mmanyema na mtunga mashairi, na Bhoke Munanka walikuwa wakitupiwa macho na serikali.

Kandoro na Munanka walikuwa wakijaribu kumuunga mkono Ali Migeyo ambaye peke yake alikuwa akijaribu kufungua matawi ya TAA sehemu za Bukoba.

Pale Bukoba mwanasiasa mkongwe Migeyo, akiwa na umri wa miaka 53 alikuwa akihangaika kufungua matawi katika jimbo la Ziwa Magharibi.

Akiwa Kamachumu katika kampeni hii, Migeyo alishambuliwa na mabomu ya kutoa machozi alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

Migeyo alikuwa na kipawa cha kuzungumza na hotuba zake zilikuwa za kusisimua kiasi kwamba ilikuwa rahisi sana kwake kuwapandisha watu hamaki.

Siku ile ya mkasa wa mabomu alikuwa akiwaandaa wananchi kuipokea TANU.

Alipokuwa akihutubu askari walikuja kuwatawanya watu kutoka kwa viwanja vya mkutano. Mabomu matatu ya machozi yalitupwa na Migeyo akatiwa mbaroni.

Migeyo alipelekwa mahakamani na akafungwa miaka mitatu.

Mwezi April 1954 Abdul Sykes, Julius Nyerere na John Rupia walikwenda kuitembelea familia ya Migeyo kijijini kwake Bugandika.

1613148235744.png
 
Ndio maana Mheshimiwa Rais anataka historia ifundishwe
 
Ndio maana Mheshimiwa Rais anataka historia ifundishwe

Kupitia Jitihada za Mh. Rais JPM nina amini Historia za hawa watu zitakumbukwa kwa ngazi yakitaifa kwani ndo wametufanya leo tuishi kwa amani na upendo.
 
Kasigazi,
Nakuwekea kipande hicho hapo chini kuhusu Ali Migeyo kama nilivyokiandika katika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes:

Katika majimbo ya ziwa katika miaka ya 1950 tawi la TAA lililokuwa na nguvu lilikuwa tawi la Mwanza.

Viongozi wake, Saadan Abdu Kandoro, Mmanyema na mtunga mashairi, na Bhoke Munanka walikuwa wakitupiwa macho na serikali.

Kandoro na Munanka walikuwa wakijaribu kumuunga mkono Ali Migeyo ambaye peke yake alikuwa akijaribu kufungua matawi ya TAA sehemu za Bukoba.

Pale Bukoba mwanasiasa mkongwe Migeyo, akiwa na umri wa miaka 53 alikuwa akihangaika kufungua matawi katika jimbo la Ziwa Magharibi.

Akiwa Kamachumu katika kampeni hii, Migeyo alishambuliwa na mabomu ya kutoa machozi alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara.

Migeyo alikuwa na kipawa cha kuzungumza na hotuba zake zilikuwa za kusisimua kiasi kwamba ilikuwa rahisi sana kwake kuwapandisha watu hamaki.

Siku ile ya mkasa wa mabomu alikuwa akiwaandaa wananchi kuipokea TANU.

Alipokuwa akihutubu askari walikuja kuwatawanya watu kutoka kwa viwanja vya mkutano. Mabomu matatu ya machozi yalitupwa na Migeyo akatiwa mbaroni.

Migeyo alipelekwa mahakamani na akafungwa miaka mitatu.

Mwezi April 1954 Abdul Sykes, Julius Nyerere na John Rupia walikwenda kuitembelea familia ya Migeyo kijijini kwake Bugandika.

View attachment 1700942

Kaka nashida sana na hicho kitabu au nakala yake. Naomba tuwasiliane 0769 717 488
 
Back
Top Bottom