Alliance Fc(watoto wa umiseta) Vs Simba SC( Timu iliyocheza Klabu bingwa Africa)

Alliance Fc(watoto wa umiseta) Vs Simba SC( Timu iliyocheza Klabu bingwa Africa)

huko kwenu vipi

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2015
Posts
1,520
Reaction score
1,462
Leo Mechi ya Alliance Vs Simba Sc itakayonguruma Katika uwanja wa CCM-Kirumba majira ya saa kumi jioni,

Kwenye mechi hii tutegemee nini?

Je Simba SC itatoka na ushindi?

Je hawa watoto wa umiseta wataishangaza Tanzania leo kwa kuifunga Simba SC( Timu iliyotka kucheza klabu bingwa Africa hadi hatua ya robot finally)??

Kama Simba watacheza kama walivyocheza Mechi dhidi ya Kagera Sugar kwann hawa watoto wasitoke na Ushindi pale Kirumba?

Kumbuka hawa watoto wameweka kambi ya siku tano(5) Nchi jirani ya Kenya bila shaka wamekuja na Mabadiliko makubwa hakuna timu iliyowahi kwenda Nje ya Nchi kujiandaa na mechi dhidi ya timu Fulani siyo Simba,Adam,Yanga wala Mtibwa isipokuwa Alliance tu,

Simba sawa ni timu kubwa lakin muingie kwa tahadhari kwenye mpira hakuna udogo wala ukubwa mkifungwa itakuwa aibu hili jiji halitokalika,

Simba ametoka kujeruhiwa na Kagera Sukari.....

Kila la heri Simba,

Ushindi ni lazima
...
 
Watakachofanywa Allieance Leo Mungu ndo anajua

Hawa wanafunzi watapigwa kipigo Cha kumkola Nyani Giladi

Mzee baba unanipa tu matumaini au unazungumza ukweli?

Msema kweli ni mpenzi wa Mungu ujue,kuna mtu huwa anasemaga hivi Mara kwa Mara,
 
SIMBA WIN N OV 2.5 GOALS
KAGERE.OKWI TO SCORE ANYTIME
CHCK UR BALANCE AFTER MATCH
 
Back
Top Bottom