Alliens Invasion

They have already been here and they left their evidence in plain sight throughout the world. Just wait for their come back. Read more about the following literature then you can come to conclusion on your own:

  • Tiwanaku and Puma Punku, Bolivia.
  • The gate of the gods, Peru.
  • Nazca lines, Peru.
  • The wow signal
  • The Madonna with Saint Giovannino painting
  • The drake equation

 
UFO sio Alliens ....

Halafu kwanini hawaji huku Africa?
 
alien and UFOs ni strategies ambazo zimetengenezwa kitambo ili kufanikisha issue ya NWO.....
Hakuna :alien: hata mmoja hapa duniani.... na hizo UFOs znazo onekana youtube watu wame upload ni kweli zinaonekana ni UFO lakini ukweli they are man - made (Hologram technology) ....

hivyo kuna mambo ya project blue beam, CERN na issue yake ya LHC ambazo zote zita link issue ya alien threats as far as I know...
 
unajua mi nadhani watu wengi tunaongea tu ila ukweli uko beyond us......sisi tunataka mpaka tuone something yenye umbo la mtu ndo tujue ni alliens what if wao wako tofauti kabisa na sisi.....what if labda wao hawana macho na hawako vertical kama sisi je kama wana mijicho kibao kama kumi hivi na may be wana maumbo ya duara..........personally mi naamini we are not alone.......hivi we unadhan ni kwanini mungu aumbe sayari zote hizo kama sisi ndo viumbe pekee na tunaishi kwenye dunia tu......hebu jaribu kufikiria kidogo zaidi ya upeo wako alaf uone kama hujawa na mtazamo mpya
 
Monstgala kuna vitu vingi sana ningependa kujifunza toka kwako mkuu ila ngoja kwanza nikusanye maswali ya kukuuliza natumaini utanipa ushirikiano
 

Kwa mfano huu asiyeelewa hastahili kuitwa binadamu. hapa ni sawa na kupeleka umeme kijijini. .. .. .. . Heshima kwako Monstgala.
 
UFO sio Alliens ....

Halafu kwanini hawaji huku Africa?

umeniwahi....hata Bara Asia hawaendi na wakienda ni China tu na pia Australia. Au wananusa umaskini na wanaukimbia?
 
umeniwahi....hata Bara Asia hawaendi na wakienda ni China tu na pia Australia. Au wananusa umaskini na wanaukimbia?

Mkuu Utingo hili ni swali safi nami nilitaka kuuliza au wazungu na wenzao wanachezea tu akili zetu na mateknologia yao...???
 
Mkuu Utingo hili ni swali safi nami nilitaka kuuliza au wazungu na wenzao wanachezea tu akili zetu na mateknologia yao...???

Mbona mitume na manabii wote wanatokea huko kwao i.e ni weupe hilo hamhoji-mnahoji hili lisilo na madhara makubwa,...miafrika bhana.
 
UFO sio Alliens ....

Halafu kwanini hawaji huku Africa?

ahahahahahaaaaaaaaaaaa,...ni sawa na vile Mungu alivyoisahau Afrika mpaka akawatuma wazungu na waarabu kutuletea ujumbe wake...tafakari - then chukua hatua mkuu.
 
Mbona mitume na manabii wote wanatokea huko kwao i.e ni weupe hilo hamhoji-mnahoji hili lisilo na madhara makubwa,...miafrika bhana.

tunahoji sana...anzisha uzi kuhusu hilo uone tutakavyoshambulia
 
ahahahahahaaaaaaaaaaaa,...ni sawa na vile Mungu alivyoisahau Afrika mpaka akawatuma wazungu na waarabu kutuletea ujumbe wake...tafakari - then chukua hatua mkuu.
Mungu yupi huyu?
 

I like this!
Mkuu, ningependa kujua zaidi kuhusu Project Blue Beam.
 
UFO sio Alliens ....

Halafu kwanini hawaji huku Africa?

Sure, always mbelez, kiAfrica Africa halijasikika tukio hata moja la hawa viumbe! There must be some cinema behind to fool the rest of the world as they did on moon landing story. Hawa jamaa wana matumizi mabaya ya knoledge zao..
 

Heshima kwako mkuu, umeeleweka barabara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…