Pre GE2025 Ally Bananga Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Dar amkingia kifua Wassira kusinzia kwenye vikao "Hakuna dhambi mtu kusinzia

Pre GE2025 Ally Bananga Katibu wa Siasa na Uenezi CCM Dar amkingia kifua Wassira kusinzia kwenye vikao "Hakuna dhambi mtu kusinzia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

CCM wananikumbusha mwaka jana ambapo Democrats walikuwa wanamtetea Biden kwamba hana shida yoyote na hali yake ya kiafya iko vizuri.

Walidanganya watu wee siku ya debate ikafika, Biden akapigwa katafunua moja na Trump, political career ya Biden ikaishia hapo!

Sijui nilitaka niseme lakini nadhani mawazo ya mzee Wassira yaheshimiwe. Apewe tu hiyo debate aliyokuwa anaitaka na Lissu na iwe live kwenye media zote Tanzania.

Haya mambo ya kuongea kwenye hotuba ambazo zimeandikwa hatutaki.

Mawazo ya mzee wetu yaheshimiwe. Apewe debate na Lissu

=====================================

Akiongea hivi karibuni kwenye kipindi cha Morning Trumpet, Binamu Bananga alisema:

"Wanaosema Makamo mwenyekiti alikuwa anasinzia wanapaswa wafahamu ya kwamba hakuna dhambi ya mtu akisinzia sehemu yoyote ile,kila mtu anasinzia hata ukiwa kwenye daladala watu wanasinzia sasa kuna dhambi gani kwa wengine wakisinzia"

bananga.png
 
Wakuu,

CCM wananikumbusha mwaka jana ambapo Democrats walikuwa wanamtetea Biden kwamba hana shida yoyote na hali yake ya kiafya iko vizuri.

Walidanganya watu wee siku ya debate ikafika, Biden akapigwa katafunua moja na Trump, political career ya Biden ikaishia hapo!

Sijui nilitaka niseme lakini nadhani mawazo ya mzee Wassira yaheshimiwe. Apewe tu hiyo debate aliyokuwa anaitaka na Lissu na iwe live kwenye media zote Tanzania.

Haya mambo ya kuongea kwenye hotuba ambazo zimeandikwa hatutaki.

Mawazo ya mzee wetu yaheshimiwe. Apewe debate na Lissu

=====================================

Akiongea hivi karibuni kwenye kipindi cha Morning Trumpet, Binamu Bananga alisema:

"Wanaosema Makamo mwenyekiti alikuwa anasinzia wanapaswa wafahamu ya kwamba hakuna dhambi ya mtu akisinzia sehemu yoyote ile,kila mtu anasinzia hata ukiwa kwenye daladala watu wanasinzia sasa kuna dhambi gani kwa wengine wakisinzia"

Huyo shoga anafugwa na mkewe apuuzwe tu
 
Mimi nadhani kwa maandishi hayo hamtetei bali ameamua kumdhalilisha
 
Wasaliti wanaendelea kuula ccm huku wafia chama wakitelekezwa na kuvishwa tu kofia za SSH
 
Back
Top Bottom