Pre GE2025 Ally Hapi aonya viongozi Miungu watu akiwataka kuacha kuwaonea wananchi na kupora mali zao

Pre GE2025 Ally Hapi aonya viongozi Miungu watu akiwataka kuacha kuwaonea wananchi na kupora mali zao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ndugu Ally Hapi, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Serikali za vijiji wanaotokana na CCM, akiwataka kuacha tabia ya kujiona miungu watu kwa kuwaonea wananchi na kupora mali zao.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akizungumza katika mkutano wake na wanachama wa chama hicho katika Halmashauri ya wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Hapi alisema kuwa chama hakitasita kuchukua hatua kali dhidi ya viongozi wanaokwenda kinyume na misingi ya uadilifu na haki.

 
Back
Top Bottom