Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ndugu Ally Hapi, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Serikali za vijiji wanaotokana na CCM, akiwataka kuacha tabia ya kujiona miungu watu kwa kuwaonea wananchi na kupora mali zao.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza katika mkutano wake na wanachama wa chama hicho katika Halmashauri ya wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Hapi alisema kuwa chama hakitasita kuchukua hatua kali dhidi ya viongozi wanaokwenda kinyume na misingi ya uadilifu na haki.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza katika mkutano wake na wanachama wa chama hicho katika Halmashauri ya wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, Hapi alisema kuwa chama hakitasita kuchukua hatua kali dhidi ya viongozi wanaokwenda kinyume na misingi ya uadilifu na haki.